ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,405
- 1,014
Tanzania itaanza kugawa misaada kwa nchi za Ulaya hivi karibuni, ikianza na nchi za Ulaya magharibi.
Kuna mda damu yako inatakiwa ili kuokoa wengineKipanya katuni zake ni sawa na mtu anayempapasa faru makalio
Sijui nini anaexpect
Ndivyo mkulu anavyotakaNews that will please the rulers even though hazina ukweli.
Tanzania yaanza kuziuzia nchi za ulaya mitumba iliyovaliwa na watanzania


Kwa bongolala kama wewe
Dah we ni noma hahaaaaaaPutin ampigia magoti raisi wa Tanzania
Asema bila yeye hakuna russia imara.
wewe ndiye unapotosha jamii, "kubakwa" ni adhabu iliyoidhinishwa na sheria za nchi gani?
Kipanya akili mingi sana
Hahahaha! Eti Tanzania yaisaidia japan
Hahaha! Nimecheka!Mama jesika ashika kinara cha mafirst lady wenye furaha duniani
😎😎😎😎😎😎"marais wa nchi za magharibi kuja kujifunza utawala bora Tanzania"