Huyu Kipanya Huyu...!.

Huyu Kipanya Huyu...!.

Ngoja kidogo nipite baadae nitarudi kaa mkao wa kula sawa!
 
hakika yote yanawezekana katika huyu atutiae nguvu.
 
We unajua..?


Ninajuwa ndiyo maana nimekuonya wacha matusi....Kiswahili ni lugha ndefu sana, usiichafue namna hiyo. Ngoja nikupe mfano wa namna ya kutumia neno kichwa katika sentensi:

"....baada ya dadako kunitembelea na kunipa papuchi, nilimpiga vichwa vinne na akaishiwa nguvu, ndipo akazirai."
 
CHNA YAHOFIA SOKO LAKE AFRICA, n baada ya Tanzania kukukua ktk sekta ya vwanda
 
Rais magufuri aongoza kati ya viongozi wa nchi za jumuia ya madola kwa kuzungumza kiingereza safi. Pia aipaisha Tanzania kiuchumi na kijeshi, sasa yaipiku marekani, yamwaga msaada wa $42 billion nchini uholanzi ili kuisaidia nchi hiyo katika sekta ya elimu.
 
Hahahaha.....huyu kipanya asidhani ana uhuru KIIVYO...(in phd holder voice)
 
Kipanya kitu kimoja ananiudhi hajaandika kitabu cha compiling ya vibonzo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom