Huyu Kipanya Huyu...!.

Huyu Kipanya Huyu...!.

Waziri mkuu kesho anatarajia kuzindua reli ya chini ya ardhi kutokea Kigoma mpaka Njombe. Gharama za ujenzi ni zaidi ya tsh trilion 38 zilizokusanywa na TRA katika mikoa hii miwili.
 
Tanzania kufungua kituo cha uzalishaji wa nyuklia marekani.

Rais wa marekani aisifu Tanzania na kuahidi kuendeleza ushirikiano

Maafisa wa serikalo waonywa kuwasumbua wawekezaji kutoka Tanzania.
 
Kwa mara ya kwanza serikali imefanikiwa kutekeleza ahadi zake zote ilizoziahidi ndani ya mwaka mmoja!
 
Malori 200 kutoka nchi 6 jirani yamiminika Tanzania kufuatia maraisi wao kuiomba msaada wa chakula Tanzania.
 
Watanzania 99% bado wana imani na mapenzi kwa ccm na rais wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom