Huyu Kipanya Huyu...!.

Huyu Kipanya Huyu...!.

Tanzania yaidhinisha trilioni 9,kuisaidia Eritrea ktk kuboresha miundo mbinu
 
Tanzania kutengeneza ndege za kivita za DAB kolomije 54RS za teknolojia ya stealth ambazo haziwezi kuonekana kwenye CCTV camera ya adui yeyote
 
Chadema kula keki ikulu(wakaribishwa na mkuu kujadili hali ya ustawi wa jamii)
 
Pigo kwa serikali ya Marekani, Tanzania yasitisha msaada wa $ Bilion mia 600 kwenye serikali mpya ya Donald Trump, kwa kile kinacho elezwa Urus iliingilia mitambo ya uchanguzi wa Marekani

~Tanzania yazindua ndege ya kivita ya kisasa

~Tanzania yaiyonya Urus

~Bajeti ya wizara ya afya Tanzania Trilion 19
 
kashata za tanzania zagombaniwa huko ulaya na marekani.
 
Rais wetu ndiye rais wa kwanza Africa kupata PhD akiwa mwalimu wa secondari.
 
  • Thanks
Reactions: SDG

Similar Discussions

Back
Top Bottom