PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,431
Aisee, Huyu kinyozi anae nyoa hichi kichwa, hakika hata matatizo yetu Tanzania anaweza akayatatua
Noma sana duh
Aisee, Huyu kinyozi anae nyoa hichi kichwa, hakika hata matatizo yetu Tanzania anaweza akayatatuaView attachment 1156860
Nlikosea Bahati mbaya mkuungoja nimuite akufundishe ku-quote
Utani tu mkuuNlikosea Bahati mbaya mkuu
Kafanyaje John?Lawama zote kwa John
Mabonde ya nyufaAisee, Huyu kinyozi anae nyoa hichi kichwa, hakika hata matatizo yetu Tanzania anaweza akayatatuaView attachment 1156860
Hana ukilema mkuu... Uyu mzima kabisaHivi kuwa na bichwa kama hili nacho sio kilema kweli.
Amesababisha matatizo mengi sana kwenye taifa hiliKafanyaje John?
aiseeeeMleta uzi, (kinyozi) heshimu wateja wako, sio vizuri kuwapiga picha na kurusha JF bila ridhaa yao!!!!!