Mvua inayonyesha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2022
- 268
- 575
Jamani ndungu zangu wiki iliyopita ilikuwa Weekend baada ya kupiga vitu kidogo kuna demu nilikuwa namuelewa hivyo kuna hatua tayari nilikuwa nimepiga kwake hivyo tulikua na mawasiliano na ukaribu kidogo
Kwa hiyo siku hiyo baada ya kupiga vitu jioni hivi kama saa mbili nikawa narudi home ghafla simu ya huyu demu ikaingia nikapokea ile baada ya salamu aliuliza uko wap nikamwambia ndio narudi home hata hivyo yeye anakaa jirani na barabara ninayopita hivyo nikamwambia nikifika maeneo hayo nitakwambia ili nikupe hi kajibu poa
Sasa baada ya kufika nikajikuta tumeongea na kuondoka wote mpaka geto aisee na nikamla aisee dah Leo imepita siku kama nane hivi demu anasema ana mimba.
Sasa nauliza kweli mtu anaweza kujipima mimba ya wiki au siku nane , tisa akajua au huyu demu ananiletea mauzauzaa kabla sijaenda mchukua kumpeleka hospital
Kwa hiyo siku hiyo baada ya kupiga vitu jioni hivi kama saa mbili nikawa narudi home ghafla simu ya huyu demu ikaingia nikapokea ile baada ya salamu aliuliza uko wap nikamwambia ndio narudi home hata hivyo yeye anakaa jirani na barabara ninayopita hivyo nikamwambia nikifika maeneo hayo nitakwambia ili nikupe hi kajibu poa
Sasa baada ya kufika nikajikuta tumeongea na kuondoka wote mpaka geto aisee na nikamla aisee dah Leo imepita siku kama nane hivi demu anasema ana mimba.
Sasa nauliza kweli mtu anaweza kujipima mimba ya wiki au siku nane , tisa akajua au huyu demu ananiletea mauzauzaa kabla sijaenda mchukua kumpeleka hospital