Huyu kijana alipatikana?

Huyu kijana alipatikana?

Mkuu kuna mengi sana ambayo hata nikikuuliza sijui kama utanijibu...
Mambo hayaendi kwa kudhania
Si swala la kudhani, wanajua kila kitu labda kama umechagua kuwa mtetezi wao wewe utuambie majibu yenu au yao.

Asiye ijua serikali hii nani mimi?

Siwezi kukujibu unavyotaka.
 
Si swala la kudhani, wanajua kila kitu labda kama umechagua kuwa mtetezi wao wewe utuambie majibu yenu au yao.

Asiye ijua serikali hii nani mimi?

Siwezi kukujibu unavyotaka.
Wewe ukiambiwa ulete ushuhuda utaleta
 
Kwanini mimi, na sio wewe unayetete na kufahamu kila kitu?

Wataukubali huo ushuhuda?
Mambo hayaendi kwa kudhania mpaka wamekaa kimya jua wanafatilia..
Habari za waliofanya ni watu fulani au fulani ni habari za kuzania
 
Kuna mambo yanatokea hata serikali au polisi hawajui wanaanzia wapi..

Na mbona wanakemea sana tyu mkuu
Haiwezekani teka teka, ua ua yote hiyo polisi washindwe kupata pa kuanzia bhana!

Angelitekwa mtoto wa kiongozi mkuu, ndiyo ungeona namna gani idara ya CID ya polisi ambavyo huwa inafanya kazi kwa ufasaha.
 
Naiman waliofanya hv sio serikali mkuu
Dah upo dunia ya wapi wee kiumbe!

Ingia You tube ukavaluete maoni ya wadau ndipo utakapoelewa kuwa Serikali inahusika moja kwa moja.

Ukiendelea kukomaza fuvu lako tutakuweka kwenye kundi la wasiojulikana upo humu kutusanifu, ukisherehekea matunda ya mikono yako.
 
Back
Top Bottom