KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,797
- 86,563
sio wote wanafikra hizo...Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
sio wote wanafikra hizo...Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
We ndio mkewe!?Sikupata taarifa vizuri naomba msaada
Nimewaza tu upande wa pili...sio wote wanafikra hizo...
Ingekua hivyo basi serikali kwa kushirikiana na vyombo vya Dola ingekua mstari wa mbele kukemea hivi vitendo na jeshi letu lingetoa ushirikiano mkubwa sana. Rejea kauli za wale wabunge walioongea bungeni baada ya Martha Karua na Boniface Mwangi kufanyiwa unyama.Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
Kuna mambo yanatokea hata serikali au polisi hawajui wanaanzia wapi..Ingekua hivyo basi serikali kwa kushirikiana na vyombo vya Dola ingekua mstari wa mbele kukemea hivi vitendo na jeshi letu lingetoa ushirikiano mkubwa sana. Rejea kauli za wale wabunge walioongea bungeni baada ya Martha Karia na Boniface Mwangi kufanyiwa unyama.
Unatafuta kuolewa kijanja?We ndio mkewe!?
Hapana kaka, angalia mfululuzo wa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa na kuuwawa tukianza na Mdude, huyu dogo aliechoma picha, Ben Saanane, Azory na mzee Ally Kibao ambae alichomolewa kwenye basi mchana mweupe na polisi Kisha baadae mwili wake ukaokotwa. Rejea pia padri Kitima alieshambuliwa Kisha polisi wakazuga kumkamata mtu mmoja lakini mpaka dakika hii hakuna aliefunguliwa mashaka wala kufungwa. Na visa vyao wote vinafanana, ni kujaribu kuwakosoa watawala.Kuna mambo yanatokea hata serikali au polisi hawajui wanaanzia wapi..
Na mbona wanakemea sana tyu mkuu
Anaitwa Shedrack Yusuph Chaula, huyu kijana alichoma picha ya raisi wa JMT akuhukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini. Wadau wakajikusanya wakamlipia faini. Aliporudi uraiani "watu wasiojulikana" wakamnyakua, mpaka leo hajulikani alipo.
Mkuu polisi wetu wanapambana sana jua hilo..Hapana kaka, angalia mfululuzo wa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa na kuuwawa tukianza na Mdude, huyu dogo aliechoma picha, Ben Saanane, Azory na mzee Ally Kibao ambae alichomolewa kwenye basi mchana mweupe na polisi Kisha baadae mwili wake ukaokotwa. Rejea pia padri Kitima alieshambuliwa Kisha polisi wakazuga kumkamata mtu mmoja lakini mpaka dakika hii hakuna aliefunguliwa mashaka wala kufungwa. Na visa vyao wote vinafanana, ni kujaribu kuwakosoa watawala.
Visa kama hivyo vyombo vya Dola haviwekei mkazo kabisa na pengine ni kwa maelekezo maalum ila ikitokea mtu ameenda kinyume na matakwa Yao basi utaona jeshi lilivyo na ufanisi katika kumkamata watu, kuwatesa na kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria
Bado, lile genge la watekaji linamaliza watu. Dogo hata influence yeyote hana masikini ya MunguSikupata taarifa vizuri naomba msaada
Toa location ulipo uletewe majibu kwa baruaSikupata taarifa vizuri naomba msaada
Na kweli wanapambana sana maana walisimamisha basi, wakamchomoa Ally Kibao, kesho yake akaokotwa akiwa ameuwawa, pia walimbeba Mdude nyumbani kwake, wakamshusia kipigo Cha maana Kisha kuondoka nae na mpaka Leo mwili wake haujapatikana. Hata Boniface Mwangi walimkamata Serena hotel, wakampiga, wakamlawiti Kisha wakaenda kumtupa mpakani. Kweli polisi wetu wapambanaji sana maana hata juzi tumeshuhudia polisi mwenye nyota zake akishusha rungu kwa watu waliokua nje ya mahakama walipokuja kufuatilia kesi kwa ustaarabu kabisa bila kuleta fujo kama katiba yetu inavyoruhusu.Mkuu polisi wetu wanapambana sana jua hilo..
Mkuu mambo sio mepesi hivo kama unavyozani.
Huyu kijana alichora picha ya Samia kwa mikono yake kisha akaamua kuichoma baada ya kukasirishwa na mwenendo wa Samia. Akakamatwa akahukumiwa jela baada ya kukosa msaada wa kisheria. Wadau wakamuibua wakamchangia faini akatolewa ila baada ya siku chache akanyakuliwa kama kifaranga anyakuliwavyo na mwewe. Umeshaisha mwaka hajulikani alipo.Sikupata taarifa vizuri naomba msaada
poor brain, wanapambana vp acp mafwela bado anadunda.Mkuu polisi wetu wanapambana sana jua hilo..
Mkuu mambo sio mepesi hivo kama unavyozani.
Mkuu unasemeq upande wako ila ungekua upande ule ungeelewa mambo yalivyo complicated....poor brain, wanapambana vp acp mafwela bado anadunda.
and thats why nakuambia hao watu wanajulikana na wanalindwa na mamlaka za juu na ndio maana ni ngumu ku deal nao. swali kwako mr poor brain kuna mamlaka gan ya juu zaid ya raisi?Mkuu unasemeq upande wako ila ungekua upande ule ungeelewa mambo yalivyo complicated....
Acha ujinga zombi wewe polisi wanapambana kuteka watu sio kulinda raia we itakua hujitambuiMkuu polisi wetu wanapambana sana jua hilo..
Mkuu mambo sio mepesi hivo kama unavyozani.