Huyu kijana alipatikana?

Huyu kijana alipatikana?

Dah upo dunia ya wapi wee kiumbe!

Ingia You tube ukavaluete maoni ya wadau ndipo utakapoelewa kuwa Serikali inahusika moja kwa moja.

Ukiendelea kukomaza fuvu lako tutakuweka kwenye kundi la wasiojulikana upo humu kutusanifu, ukisherehekea matunda ya mikono yako.
Mkuu yaishie hapa bana
 
Sawa mkuu..
Nipe tofauti kati ya amani na haki kisha niambie hapa tanzania kitu gani tunakosa kati ya hivo vitu viwili..?
Amani ni hali ya utulivu na maelewano, ambayo mara nyingi huhusishwa na kutokuwepo kwa migogoro na vurugu. Inaweza ikajumuisha hisia pana zaidi ya ustawi kibinadamu, na usawa ndani ya jamii lakini haki ni takwa la msingi la binadamu ambalo pia hutegemea na sheria za sehemu husika mfano ni haki ya msingi kwa kila binadamu kuishi mpaka pale kifo kitakapomkuta na sio vinginevyo. Ingawa amani na haki ni dhana tofauti, zinaingiliana kwa karibu, utambuzi mzuri wa haki za binadamu hujenga taifa lenye Armani tele. Mkuu swali kwako je Tanzania ina Amani na haki?
 
Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
Mbona hawakemei achilia mbali kuchukua hatua, hakuna mjinga ataamin hili wauaji nihao wenyewe
 
Amani ni hali ya utulivu na maelewano, ambayo mara nyingi huhusishwa na kutokuwepo kwa migogoro na vurugu. Inaweza ikajumuisha hisia pana zaidi ya ustawi kibinadamu, na usawa ndani ya jamii lakini haki ni takwa la msingi la binadamu ambalo pia hutegemea na sheria za sehemu husika mfano ni haki ya msingi kwa kila binadamu kuishi mpaka pale kifo kitakapomkuta na sio vinginevyo. Ingawa amani na haki ni dhana tofauti, zinaingiliana kwa karibu, utambuzi mzuri wa haki za binadamu hujenga taifa lenye Armani tele. Mkuu swali kwako je Tanzania ina Amani na haki?
Ujanambia hapa tanzani tunakosa nini kati ya amani na haki
 
Mbona hawakemei achilia mbali kuchukua hatua, hakuna mjinga ataamin hili wauaji nihao wenyewe
Haya mambo bila ushahidi ni ngumu kuhukumu..
Mfano weww ukiulizwa unaweza mtaja jina polisi aliyefanya hayo mambo...?

Utaweza... Au utataja
 
Back
Top Bottom