Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,567
- 41,330
Kusema watu wasiojulikana ni ujafiki tu wakati Gwaji boy alishawataja na kila mtu anawajua wauaji...
Daah mbaya sana unachokiandika kinafanana na Poor brain kabisa..Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
wangemfuata huko huko jela, inaonekana "wale watu" walikuwa wameshadhamiria jambo laoHuwa nawaza ni bora angekuwa jela.... Lakini walisha mpoteza kisa picha.
Mkuu fungukaSiyo kweli hata kidogo.
Shughulisha akili utauona ukweli, achana na propaganda za ccm.
Isanga hayo ni mawazo tuDaah mbaya sana unachokiandika kinafanana na Poor brain kabisa..
Haya ila waza sana mkuu...Jina lako lina akisi ulicho andika poorBrain😅, serikali ina mkono mrefu ingesha kikamata hicho kikundi cha hao watu.
Rais aliyeapa kuilinda katiba na watu wake yuko wapi? Si ni yeye anayewateua? Kama kuna watu walikuwa na mashaka na kuamini kuwa Samia anahujumiwa nadhani mmeona wenyewe jinsi ''alivyojibu'' hoja ya Gwajima ya kupotea kwa watanzania wasio na hatia.Kuna mambo yanaendelea..
Hivi mshawahi waza kama kuna kikundi cha watu kinafanya haya mambo ili tu watu wawe na uhusiano mbaya na serikali yao...
🐸 Ndiye anayeua vijana wetuSikupata taarifa vizuri naomba msaadaView attachment 3355492
Nimewaza tuu mkuu..Rais aliyeapa kuilinda katiba na watu wake yuko wapi? Si ni yeye anayewateua? Kama kuna watu walikuwa na mashaka na kuamini kuwa Samia anahujumiwa nadhani mmeona wenyewe jinsi ''alivyojibu'' hoja ya Gwajima ya kupotea kwa watanzania wasio na hatia.
Naomba ujiheshimu. Mimi ni Mwalimu na huwa nafanya bishara ya kinywaji aina ya KangalaIsije tu ikawa umekuja kupima kina cha maji. Kama mlishamuua, mtuambie tu. Ilani naamini damu ya huyu kijana haitawaacha salama. Kwa sababu ni ukweli ulio wazi; hakufanya kosa lolote lile.
Ndio mana tunataka Latina ibadilike, police hawawez kuwawajibisha watawala sababu watawala ndio wanawateua na ndio wanawatuma kazi za kishenzi...kama watu wametengeneza genge lakuua watu kama risasi basi turihusiwe kununua Silaha kama njugu ila kile mtu ajilinde, sababu wao wameshindwa kulinda raiaMkuu unasemeq upande wako ila ungekua upande ule ungeelewa mambo yalivyo complicated....
Nenda kileleni mlima kilimanjaro kisha tuangalie huku chini Tanganyika, utaona jinsi tulivyo wajinga.Mkuu funguka
Sawa mzala..Isanga hayo ni mawazo tu
Naomba nikuulize kitu mkuu kama utojari..Ndio mana tunataka Latina ibadilike, police hawawez kuwawajibisha watawala sababu watawala ndio wanawateua na ndio wanawatuma kazi za kishenzi...kama watu wametengeneza genge lakuua watu kama risasi basi turihusiwe kununua Silaha kama njugu ila kile mtu ajilinde, sababu wao wameshindwa kulinda raia
Mkuu kuna mengi sana ambayo hata nikikuuliza sijui kama utanijibu...Nenda kileleni mlima kilimanjaro kisha tuangalie huku chini Tanganyika, utaona jinsi tulivyo wajinga.
Ukiwa juu sikiliza frequency zingine achana na hizi za humu ndani utafunguka tu.
'Kantolee' mkuu!Sikupata taarifa vizuri naomba msaadaView attachment 3355492