Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Mbona unamtaja rais kimzaha mzaha hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kumbuka hali ya barabara zetu mwaka 2003 hakukuwa na msongamano kama uliopo sasa, mama Maria nyerere hakuwaga na mshahara ila now mama majaliwa anamsafara
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimecheka sana
 
Nilishawahi kukaa foleni Mbagala tukitokea Mtwara, enzi ile Kibiti imekuwa kibiti, CDF Mabeyo naye alikuwa akitoka huko kusini akawa nyuma yetu na ilikuwa mida ya saa 2 usiku. Alikuwa na MPs lakini kwenye magari sio kuning´inia. Tulikaa pale foleni imeshona haivuti masaa mawili.

Walichofanya, MPs walishuka wakasimama kuzunguka gari yake, wengine wachache wakakimbia huko mbele kutafiti tatizo ni nini. Mmoja akiwa dirishani kwetu akampigia mkuu wa trafiki kumwambia CDF amekwama barabarani.
Gafla palimwagika askari, wakamchepulia njia wakauondoa msafara wake. Kuhoji trafiki akasema kiusalama na hali ya Kibiti, ni hatari CDF kuwa pale muda mrefu vile na lile giza. Na sie mdogo mdogo tukavutwa tukatoka.
Kulikuwa hakuna ajali wala nini, ukorofi tu wa madereva kuzibiana na kukomoana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…