Kumnyima mashine na umpe unaemtaka huku akishuhudia.Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.
Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.
Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.
Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.
Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
Kweli vita vya panzi neema kwa kunguru... YAANI JAMAA LA UTOTONI LIMEGEGEDA HIVI HVI... NA TENA KWA MATANGAZO...Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.
Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.
Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.
Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.
Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
bora umwambie ukweli....Baada ya miaka kadhaa utaanzisha thread ya kutafuta mume
Baada ya kuona hali inaendelea siku ya jana nikaona ni kheri ni msaliti nimechoshwa na vitimbiSasa kma wewe unalalamika jamaa anawasiliana na wanawake zake wengine, mbona ww uliwasiliana na huyo bwana ako wa utotoni mpk mkapanga kwenda kutomboka..??? Au mlienda kutomboka bila kuwasiliana..??
Wewe ni type ya mwanamke wa kujipigia na kusepa. Hta ghetto kwangu sitotaka upajue.
Bonny kutomboka maana yake n kufoka au kumkalipia mtu limetokana na wakongo sema sisi wabongo sbbu tunapenda matusi tumeliingiza kwenye matusiTatzo lake ni mbish sana huyu binti aisee embu nsaidie kumuweka sawa
mama unakaa kinondon nn mbna umepata tafsir ya wacongo fasta hvoBonny kutomboka maana yake n kufoka au kumkalipia mtu limetokana na wakongo sema sisi wabongo sbbu tunapenda matusi tumeliingiza kwenye matusi
ha ha ha ha mama huu ni zaid ya utafit seme huo utajiri wenuBabu mm sina mapepo ya kuja kuombewa, na huo utafiti wenu yangu macho mmekutana pwagu na pwaguzi.
na usikute ata kumuoa hatamuoa ataishia mchezea mwisho wa siku majuto ni mjukuuKweli vita vya panzi neema kwa kunguru... YAANI JAMAA LA UTOTONI LIMEGEGEDA HIVI HVI... NA TENA KWA MATANGAZO...
hahahhh ww si ulitaka maana mm nipo nao hapa tunakunywa maji ya uhaimama unakaa kinondon nn mbna umepata tafsir ya wacongo fasta hvo