Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Kama siyo mwanae anahangaika kwa sababu gani wakati siyo jukumu lake? Mzazi wa mtoto ndiye anatakiwa kuwajibika amlishe mtoto wake,wazazi zaeni kwa mipango.
 
Mmiliki na wafanyakazi wa eneo hilo wana makosa, huwezi kuruhusu mtu asiye mteja kusogea sehemu ya wateja ikiwa yeye siyo mteja.
(Privacy ni muhimu).

hapo ni sehemu ya kupata huduma, na Jamaa kaja kula ili kukidhi haja yake, tena kwa pesa yake na mda wake mwenyewe.

Haina haja ya kumlaumu ikiwa sio tatizo lake,. Sema mwamba kuwa bize na simu kazingua kidogo.
ange wasikiliza kibinadamu.
Uko sahihi mfano huyo mtoto mteja ukampa chakula unakula akapata tatizo la kuharisha au lolote utatuhumiwa wewe

Hapo labda solution amnunulie chakula chake akale huko mbali na mama yake huko wachukue wenyewe wakale mbali huko
 
Wanaharibu biashara sababu mteja atatoka hapo na hasira huku akilaani... Ombaomba nawaona kama wale wadada wanaosukana kwenye mlango wa choo
Ndio maana hoteli zingine huajiri ma baunsa kuwatimua wanaoharibu biashara za watu

Mara ingine hao hutumwa na washindani kibiashara wakiona wateja umejaza wanakuletea kichaa au zezeta au ombaomba akere wateja wasirudi tena au kutangaza vizuri biashara kwa wengine

Huyo mama ana agenda ovu dhidi ya hiyo biashara alitakiwa adhibitiwe na mumliki yeye na mwanawe
 
Ikatokea amempatia mtoto chakula kisha huyo dogo akaumwa au kufa itakuwaje? Mim sigawi chochote kwa mtu nisie mfahamu hata kama atakaribia kufa niheri ninnunulie kuliko kumpa nilichonacho
 
Back
Top Bottom