Nop sio kirahisi hivyo mdau😅😅 japo inawezekena though.Uenda njemba nyumbani hakuacha kitu alafu wife kamfumania bar akijichana! Kaamua kumchukua dogo akamuone baba yake. Njemba kajifanya hawajui😁😁😁
Kwamba kiasili wao ni omba omba 😂🤣Hii picha kama sio Dodoma sijui tu.....
Kama umeingia akilini mwanguHii picha kama sio Dodoma sijui tu.....
Wewe unautani na wagogo😂😂😂Hii picha kama sio Dodoma sijui tu.....
Chakula hakiwezi kushuka kwa jicho la yule mama 🤣🤣
Halafu jamaa naona anaperuzi jfBinafsi naona pia yupo sahihi.. usiniulize kwanini.
Mbona kama ni Mdude Nyagali huyu, au macho yangu tu?!!!!
Nilivyo nakinyaa kwanza mtu tu akiwa ananiangalia angalia usoni nasusa kula sembuse huyo kunisogelea namna hiyo,.Et Leejay49 ukienda eneo kama hili kupata mlo halafu atokee mtu wa aina hii, hivi kesho utakuwa na hamu ya kurudi hapo kula?
Wagogo kwenye moja na mbili au sio😃😃😅Hii picha kama sio Dodoma sijui tu.....
Ungeweka onyo picha iko graphic, wenye mioyo midogo wasifungue🤣🤣
Haipendezi hata kidogo . Sio tu mgahawani hata kuna pub moja jirani hapa ni maarufu kidogo,sasa humo ndani kuna muda mateja na vichaa wanaingia kuombaomba hela na kuleta kero kwa wateja wamekaa kiustaarabu wanapata vinywaji vyao ofcourse inanikera japo sio mimi ila inaboa sana najaribu kuvaa viatu vyao nashindwa.. na hii sometimes inaweza hatarisha maisha ya wateja.. maana watu wa sampuli hii wanakuwa na mambo mengi muda mwingine anatafuta mtu wa kufa naeNakumbuka siku moja nipo kinondoni manyanya kuna mgahawa nakula akaja teja anataka buku nikamwambia sina akaanza maneno ya shombo.. kwa hiyo unakula biriani na juice hutaki kunipa buku
Nikamwita mhudumu (mdada) hebu niondolee huyu mtu sitaki usumbufu tofauti na hapo nitaondoka na silipi maana mnalea ujinga kwenye mgahawa wenu
yule mdada alienda kumwita mpishi (jamaa) akaja akamtoa lkn jamaa anatolewa huku aninitamkia maneno ya hovyo.
Kiufupi huu ni usumbufu wakati nakula sitaki vurugu, kwa nini ukose ustaharabu nimalize kula ndio uniambie.
Kabisa aisee 😂😂Chakula hakiwezi kushuka kwa jicho la yule mama 🤣🤣
Ni omba omba hao au?Hahahaha uyo maza jau sana