Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Kwamba kiasili wao ni omba omba 😂🤣
Kama umeingia akilini mwangu
Wewe unautani na wagogo😂😂😂
Wagogo kwenye moja na mbili au sio😃😃😅
Kuna siku nlipita mahali kula nikaagiza chips na nyama choma Dodoma hapo, akaja dogo mmoja akakaa ananitolea macho kama huyo....mi nkamkaushia tu nikaendelea kula akaona mmh nyama itaisha hii akaniuliza hiyo nyama ina chumvi nikamjibu ndio, naona anatafuta tena gia ya kuomba akauliza ni tamu...mimi ndioo huku naendelea kutafuna tu mifupa 😂😂😂

Wagogo wa ajabu sana too much
 
Nilivyo nakinyaa kwanza mtu tu akiwa ananiangalia angalia usoni nasusa kula sembuse huyo kunisogelea namna hiyo,.

Kuna siku cafe sikuwalipa hela kisa mmama mmoja chizi ameingia wahudumu wanamwangalia tu akaja na mikono yake bila kunawa akachukua nyama kwenye sahani yangu wanamchekea chekea tu nilinyanyuka nikaondoka zangu bila kusema kitu nao nadhani walijua kwanini wala hawakuniulizia bili
Hii sawa kabisa ulichofanya.
 
Kuna siku nlipita mahali kula nikaagiza chips na nyama choma Dodoma hapo, akaja dogo mmoja akakaa ananitolea macho kama huyo....mi nkamkaushia tu nikaendelea kula akaona mmh nyama itaisha hii akaniuliza hiyo nyama ina chumvi nikamjibu ndio, naona anatafuta tena gia ya kuomba akauliza ni tamu...mimi ndioo naendekea kutafuta tu mifupa 😂😂😂

Wagogo wa ajabu sana too much
sema mimi sijui nikoje, ila ninge waagizia chakula Kisha nika mind my own business.
 
Mmiliki na wafanyakazi wa eneo hilo wana makosa, huwezi kuruhusu mtu asiye mteja kusogea sehemu ya wateja ikiwa yeye siyo mteja.
(Privacy ni muhimu).

hapo ni sehemu ya kupata huduma, na Jamaa kaja kula ili kukidhi haja yake, tena kwa pesa yake na mda wake mwenyewe.

Haina haja ya kumlaumu ikiwa sio tatizo lake,. Sema mwambia kuwa bize na simu kazingua kidogo.
ange wasikiliza kibinadamu.
Huenda alijaribu kuwaelewesha wakogoma ku-understand na pengine hapo mfukoni hakuwa na kitu tena
 
Kuna siku nlipita mahali kula nikaagiza chips na nyama choma Dodoma hapo, akaja dogo mmoja akakaa ananitolea macho kama huyo....mi nkamkaushia tu nikaendelea kula akaona mmh nyama itaisha hii akaniuliza hiyo nyama ina chumvi nikamjibu ndio, naona anatafuta tena gia ya kuomba akauliza ni tamu...mimi ndioo huku naendelea kutafuna tu mifupa 😂😂😂

Wagogo wa ajabu sana too much
Hahaha,. Ulikua unajiskiaje unavyomjibu😄😅😂
 
H
Kuna siku nlipita mahali kula nikaagiza chips na nyama choma Dodoma hapo, akaja dogo mmoja akakaa ananitolea macho kama huyo....mi nkamkaushia tu nikaendelea kula akaona mmh nyama itaisha hii akaniuliza hiyo nyama ina chumvi nikamjibu ndio, naona anatafuta tena gia ya kuomba akauliza ni tamu...mimi ndioo huku naendelea kutafuna tu mifupa 😂😂😂

Wagogo wa ajabu sana too much
😂😂😂😂😂
 
Hali ngumu sheikh..!
Yaani mtu nikae zangu restaurant nna ka elfu tano kangu nimeagiza msosi nitulize njaa halafu anakuja mmama ombaomba Kabeba kitoto eti niache kula niwape wao msosi wangu!
Thubutu.!!!
Tatizo wengi mkekalili kila anayekula restaurant ni tajiri au anatembeaga na hela ya ziada hamjui sometime mtu ameshinda njaa anapambana ndo kabahatisha buku tatu ya kula halafu hao wamama pia imekuwa kama business unakuta wanabeba vitoto anakuja kuombaomba mitaani mara mtoto anaumwa mara naomba nauli!
Mie nawakaushiaga sana!
 
Hao watu jau Sana kuna siku nilipitia mahala Kula ...of course ni bar halafu chakula pale ni ghali kidogo wakaja vijana kama watatu hivi wanataka sadaka ya kujenga msikiti...

Yaani wanapita meza Kwa meza walipofika kwangu nikamwambia Mimi ni mkristo na nafuga mbuzi katoliki na ndiyo njia yangu ya kupatia kipato...lahaula wakakomaa na vitisho vya hapa na pale kuhusu kiama eti niwape hivyo hivyo ...siyo kesi nikatoa buku mbili.

Kimbembe walifika meza ya jamaa mmoja mbona walikoma ...aliwapiga vifungu vya Qur'an wakabaki wameduwaa hawajui lolote...mwisho WA siku akawaita wezi ikabidi tuanze kudai pesa zetu tuliotoa
 
Hali ngumu sheikh..!
Yaani mtu nikae zangu restaurant nna ka elfu tano kangu nimeagiza msosi nitulize njaa halafu anakuja mmama ombaomba Kabeba kitoto eti niache kula niwape wao msosi wangu!
Thubutu.!!!
Tatizo wengi mkekalili kila anayekula restaurant ni tajiri au anatembeaga na hela ya ziada hamjui sometime mtu ameshinda njaa anapambana ndo kabahatisha buku tatu ya kula halafu hao wamama pia imekuwa kama business unakuta wanabeba vitoto anakuja kuombaomba mitaani mara mtoto anaumwa mara naomba nauli!
Mie nawakaushiaga sana!
Sikuizi wanasema anaomba hela akamnunulie mtoto dawa,. Jamani😒😒
 
Sometimes inakera ,. Wahudumu na wamiliki wa restaurants wanatakiwa wazingatie mambo mengine kama haya
Wao wanalenga tu pesa .. wanajua watu wa aina hii wakija kwenye restaurant zao nyie wateja mtaingiwa na "roho ya huruma" na kuwanunulia chakula. Hii haifai kabisa
 
sema mimi sijui nikoje, ila ninge waagizia chakula Kisha nika mind my own business.
Wanakera bana yani ni kila ukikaa zako bar unapiga menu waje kuomba omba.
Siku nyingine nmelala zangu hadi mida ya saa nne bado nmeuchapa mara mlango unagongwa kutoka nakutana na kibibi cha kigogo eti naomba chai, nkamwambia chai hamna na gas ilikua imeisha hata sijapika, akasema naomba chochote........wagogo 🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom