Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Ukiona mtu ameingia kwenye security bubble ya Mh Rais ujue keshafanyiwa upembuzi yakinifu na watu wenye kazi zao. Usifikiri amesimama pale bahati mbaya.Sawa kama hahusiki inakuaje anaachwa anazama mfukoni anatoa leso namna ile au anakaa mitaa ile ambayo kwa mkono tu anamfikia prezdaa, hebu ngoja nimwite mwandamizi GENTAMYCINE aseme kama ndo wanafundwa hivyo pake eagle wing