Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 736
Mtafutie muathirika mwrnzake aoe wakqte mqjani pamojq
Itakuwa safi mkuu. Je wewe umeshapima? Siku hizi suala la kupina liwe ni sehemu tu ya maisha hasa kwa wale wenye mahusiano (wenye ndo wakiwemo maana tunaongoza kwa vvu).
Natamani jf wote tupime tujue hali za afya zetu.
elewa mwana sisi hatujawah kumhisi kuwa ana ngoma wala hatujamwambia akapime.Ameshawishiwa na rafiki ake mtaani wameenda baada ya majibu kuwa hivo amerudi home na kumwambia maza.Familia yetu iko na imani kubwa na hakuna aliewahi kufanya michezo mibaya kama wengine wanavyosema.Ishu hapa ni huyu dogo ana ngoma nn kifanyike
kwa jinsi alivyo hakuna mtu hapa home anaeweza kumkubali wote wanamjua na tumeshawatahadharisha na bahat nzuri hakuna mtoto
Nimepima mkuu na ninajijua afya yangu kwa mapana na marefu huwa nashangaa sana humu jf watu wanapotokwa na povu bila kujua afya zao.
Pole sana mkuu, jamaa kama angekuwa anatoka kenya ningewashauri mkampime na huyo ng'ombe kwani hao jamaa wana tabia ya kuwaingilia hadi ng'ombe/wanyama (tafadhari nisieleweke vibaya kwani huo ndio uhalisia)!
Mmoja kutoka kule kwa mura akasema mchunga mbuzi ni lazima awapande.
Sorry, wewe ni mvulana?
yes mm ne ME na nimepima na nategemea kufunga ndoa na kimwana wangu tar 7june ila hapa naelezea ishu inayoendelea home