Huyu houseboy simuelewi jamani

Huyu houseboy simuelewi jamani

Natamani jf wote tupime tujue hali za afya zetu.

Itakuwa safi mkuu. Je wewe umeshapima? Siku hizi suala la kupina liwe ni sehemu tu ya maisha hasa kwa wale wenye mahusiano (wenye ndo wakiwemo maana tunaongoza kwa vvu).
 
Kwanza hii stori siielewi..huyo jamaa alienda kupima kwa hiari au kuna kitu aligundua kwenye mwili wake ndo akaenda kupima?
Maana kukurupuka tu na kwenda kupima bila sababu, tena kwa houseboy kama ulivyosema ni vigumu sana!
 
Nahisi ngoma kaipatia humo humo ndani ndio mana hataki kutoka na hamuwezi kumfukuza atamwaga siri.
 
Atampitia house girl na wewe kwa vile umeshampitia house girl itakuwa shida.. Mko wangapi? Jiulizeni
 
Kwa hali hii anaweza ht kumbaka housgl jamani muondoeni kwa hekima tu kama hajakubali matokeo anasambaza kusudi
 
Ni hivi, jamaa kashapitia house girl, na wewe mleta naamini umeshapita kwa house girl, nakushauri ukapime ingawa mimi sio muumini wa hiyo falsafa ya pima ujue afya yako,
ila ni pima uanze kukonda
 
kiukweli hatujui cha kufanya kaka manake sisi tumemleta kwaajili ya kazi za nguvu mf kukata majani sa inafikia kipnd tunahofu kama zitamfanya achoke mapema na pia kama ataanza dawa lazma itamlazm kupata tym ya kupumzka so lengo letu la kuwa nae ni kama linakufa vile

Kuna jambo ambalo mara nyingi silielewi, kijana anakuja kujitafutia riziki na unakiri ni mchapa kazi mzuri, kisha unashawishika kumpima...kwani mlitaka kumwozesha binti yenu au? Wee mwenyewe ukienda zahanati kupima malaria unamtahadharisha mpimaji asipime kitu kingine!
 
Na wewe kapime na mamaa ndo tujue mbivu na mbichi hapa hapa.
 
kiufupi hapo nyumbani hata nyinyi hamko salama kutokana na ufinyu wa ufahamu wa kujitambua wa huyo kijana, kwa usalama wenu tu na watoto wa watu anaotaka kuwaharibu mrudisheni kwao manake anaweza ata aje ambake huyo housegirl unajua ule ugonjwa wakati mwingine huingia kichwani mtu anafanya mambo ya ajabu
 
Kwanza hii stori siielewi..huyo jamaa alienda kupima kwa hiari au kuna kitu aligundua kwenye mwili wake ndo akaenda kupima?
Maana kukurupuka tu na kwenda kupima bila sababu, tena kwa houseboy kama ulivyosema ni vigumu sana!

hakulazimishwa mwana ila alipata ushawishi kwa rafiki ake anaeishi jirani na home ndo wakaenda kupima mwenzake yuko mzima ye ndo anao sa alivorudi akamwambia mama.kumbuka ma housboy wanakuaga na akili za kushikiw
 
Kuna jambo ambalo mara nyingi silielewi, kijana anakuja kujitafutia riziki na unakiri ni mchapa kazi mzuri, kisha unashawishika kumpima...kwani mlitaka kumwozesha binti yenu au? Wee mwenyewe ukienda zahanati kupima malaria unamtahadharisha mpimaji asipime kitu kingine!

elewa mwana sisi hatujawah kumhisi kuwa ana ngoma wala hatujamwambia akapime.Ameshawishiwa na rafiki ake mtaani wameenda baada ya majibu kuwa hivo amerudi home na kumwambia maza.Familia yetu iko na imani kubwa na hakuna aliewahi kufanya michezo mibaya kama wengine wanavyosema.Ishu hapa ni huyu dogo ana ngoma nn kifanyike
 
kiufupi hapo nyumbani hata nyinyi hamko salama kutokana na ufinyu wa ufahamu wa kujitambua wa huyo kijana, kwa usalama wenu tu na watoto wa watu anaotaka kuwaharibu mrudisheni kwao manake anaweza ata aje ambake huyo housegirl unajua ule ugonjwa wakati mwingine huingia kichwani mtu anafanya mambo ya ajabu

Tangu hii mada imeanza wewe ndo umenipa solution ya hii ishu.Dawa ni kumuondoa mapema sn maana haonyeshi kujijali huyu japo anatia huruma manake anatokea Kidabaga iringa bush huko alizoea misosi hapa akirudi am sure hatomaliza miez miwili
 
Back
Top Bottom