Huyu hapa Jesca John Magufuli

Huyu hapa Jesca John Magufuli

29d8b36ab123e1a03eb1e0d48fd7667b.jpg

Hivi hii shule aliyosoma huyu bint ni ya kata nayo maana haya matokeo ya hiyo shule ni ya kikata kata.
 
Mbona naona jina la jesca halionekani tena na limekuwa replaced na manyotanyota (*****) ? au ndio sheria mpya za mtandao?
 
Aisee kwahyo ukiandika jesica (minus the "I") automaticaly inakuja nyotanyota?.heheh Daah kweli Jamiiforum sikuizi sio tena jukwaa huru,mna sensor mpaka jina kisa mtoto wa mkulu,kwahyo wanaofaa kutajwa majina na kujadiliwa humu ni sie makapuku tu,ila familia ya mfalme iko out of bound sio.?
 
Tumeona binti mfalme Jesca, na Mwanaasha wakifanya vibaya katika masomo yao. Sasa kwa mimi kijana wa enzi za kikwete napenda kufahamishwa kama kuna toto ya rais wakat wa Nyerere (R.I.P), Mzee wa ruksa na Nzee Nkapa ambayo ilifanya vibaya katika masomo ya sekondari.
 
AISEE MEMBER MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU, KULA GWALA! umenena ukweli na uweledi wa hali ya juu!
Kwahiyo na wewe hujiongezi unasifia tuu! Angepitia ngazi hizo zote si angetumia miaka mitatu hivyo sasa angekuwa mwaka wa kwanza iweje sahizi awe anaingia mwaka wa tatu? Hujiulizi hilo?
 
Ridhwani Kikwete baada ya Babake kuwa Rais alikutana na Abbas Mwinyi na Makongoro wakamueleza Changamoto za kuwa Mtoto wa Rais na changamoto zake kwny media.
Ridhwan Kikwete nae ni wajibu wake kukutana na huyu binti kumuandaa kisaikolojia.
Wasije wakalazana tu...
 
wewe weka weka tu hii picha ...............litakupata jambo ! maana huyu bwana hana simile.
 
Back
Top Bottom