Huyu hapa Bilionea aliyepitishwa kugombea Singida Kaskazini

Huyu hapa Bilionea aliyepitishwa kugombea Singida Kaskazini

Hongera sana ponjoro mwenzangu, mimi Ponjoro wa Kinondoni nimepata amani kuona jamii ya ponjoro inakubalika sana Tanzania.

Mimi pia nimepita kinondoni, asanteni sana. Kwakuwa mifumo inasomana basi ushindi ni uhakika.

SASA WEWE UNAYESEMA WANANCHI HAWATUKUBALI, UNABISHA ULIKUWEPO?
View attachment 3451320
Hawa ponjoro wanapitaga huko kwa wajinga wenye njaa. Wakiwa bungeni kazi yao ni kuhujumu mienendo yoyote dhidi ya maslahi ya wawekezaji wababaishaji na wanyonyaji wa umma. Ikitakikana sheria ya maslahi kwa umma wanaizima. Pia wanatumika na mabwanyenye kuhonga wabunge.
 
Hongera sana ponjoro mwenzangu, mimi Ponjoro wa Kinondoni nimepata amani kuona jamii ya ponjoro inakubalika sana Tanzania.

Mimi pia nimepita kinondoni, asanteni sana. Kwakuwa mifumo inasomana basi ushindi ni uhakika.

SASA WEWE UNAYESEMA WANANCHI HAWATUKUBALI, UNABISHA ULIKUWEPO?
View attachment 3451320
Unaweza usipate picha halisi ya jinsi wazee wetu walivyowapokea wakoloni/wafanyabishara wa utumwa nk mnamo karne iliyopita lakini HII picha inakupa mwangaza kabisa.Picha linakuonyesha namna mwafrika/mtu mweusi akinyimwa elimu anavyoBEHAVE🤣
 
Hongera sana ponjoro mwenzangu, mimi Ponjoro wa Kinondoni nimepata amani kuona jamii ya ponjoro inakubalika sana Tanzania.

Mimi pia nimepita kinondoni, asanteni sana. Kwakuwa mifumo inasomana basi ushindi ni uhakika.

SASA WEWE UNAYESEMA WANANCHI HAWATUKUBALI, UNABISHA ULIKUWEPO?
View attachment 3451320
Singidani wote wajinga mpaka mtafute expatriate akawawakilishe?
Huyu wa huku ubungo si angewatendea haki kuliko hilo ponjoro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom