Huyu hapa Bilionea aliyepitishwa kugombea Singida Kaskazini

Huyu hapa Bilionea aliyepitishwa kugombea Singida Kaskazini

Hahahaha 😂😂😂😂😂
Mbona kama mgonjwa huyuu
 
Hongera sana ponjoro mwenzangu, mimi Ponjoro wa Kinondoni nimepata amani kuona jamii ya ponjoro inakubalika sana Tanzania.

Mimi pia nimepita kinondoni, asanteni sana. Kwakuwa mifumo inasomana basi ushindi ni uhakika.
View attachment 3451320
Huyu mwamba alishinda mara mbili enzi za magu akamkata,alikua hataki mabilionea Magu😆
Mara ya kwanza nyarandu alipoachia jimbo alimshinda monko lakini magu alimkata,mara ya pili 2020 alishinda tena lakin magu akamchukua Ramadhan ighondo
Safari hii wameona aibu kumkata maana kashinda tena kamshinda mpaka mtu wao nyarandu😆😆 pia kachangia pesa nyingi sana kwenye ujenzi CCM mkoa singida mjini pale😆😆
 
Utaratibu ukoje wa kupiga saluti.naona babu kapiga saluti na kanzu.au alikuwa mgambo enzi zake
 
Aisee!..Ponjoro kweli kweli, swali ni Je! alitokana na wajumbe au?..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom