georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,870
Na ukweli wa hiyo statement siyo wa kuuliza wala kusikia. Tunajuta kumkumbatia huyu aliyenunua uongoziAnasema ikulu ni mahali patakatifu na anayekimbilia Ikulu kwa rushwa aogopwe kama ukoma
Na ukweli wa hiyo statement siyo wa kuuliza wala kusikia. Tunajuta kumkumbatia huyu aliyenunua uongoziAnasema ikulu ni mahali patakatifu na anayekimbilia Ikulu kwa rushwa aogopwe kama ukoma
Eti nini? Anhaaaa kumbe ritz!!!Nikimuona nakumbuka unga wa ngano, nakuvaa nguo za viraka pamoja ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari. Huyu Mwl alitawala kundi la wajinga toka mwaka 1960 wananchi wake walikuwa hawajawahi kuona TV wala kufanya mijadala kama hivi. Enzi zake ukikutwa na dola 50 utajuta lazima uende jela.
Wote wanao beza wamezali enzi hizi za JK na william! Habari zake wanazisikia kutoka kwa wahuni tu.
Hakuna na hatotokea
kamanda wa ukweli
Nikimuona nakumbuka unga wa ngano, nakuvaa nguo za viraka pamoja ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari. Huyu Mwl alitawala kundi la wajinga toka mwaka 1960 wananchi wake walikuwa hawajawahi kuona TV wala kufanya mijadala kama hivi. Enzi zake ukikutwa na dola 50 utajuta lazima uende jela.
Asante sana ndugu yangu. Kuna watu humu kazi yao ni kubwabwaja tu. Hawajui thamani ya Mwl katika nchi hii. Eti TV, ptuuuuuuuu, TV yenyewe ndiyo hiyo miziki ya Diamond na filamu za akina naniiii.... Upuuzi tu.TV inakusaidia nini? comedy?
wajinga ? WEWE unajiona umeelimika? unafahamu tofauti ya literacy level ya miaka ya 70 na sasa?
tanzania ilipata tunzo ngapi kipindi cha nyerere kwenye suala la elimu?
Nami nakuomba sana ukamsihi Abdulwahid Sykes anisome huenda akabadili mawazo yake.Nakuomba sana umsome Abdulwahid Sykes labda utabadilisha kauli yako....
Ukimaanisha tungekuwa bado tunakula lile dona la farasi?
Nakubaliana nawewe kabisa kwani Tanzania ya leo si ya wajinga kama aliowaongoza yeye. Pia sasa kuna demokrasi hakuna tena alama ya ndio na hapana kuwa wagombea urais.
TV inakusaidia nini? comedy?
wajinga ? WEWE unajiona umeelimika? unafahamu tofauti ya literacy level ya miaka ya 70 na sasa?
tanzania ilipata tunzo ngapi kipindi cha nyerere kwenye suala la elimu?
Ndugu juzi tu ccm wepiga kura ya ndio na hapana kuchagua mwenyekiti, kaa kimya usije kukosa majibu kwa ushabiki.