huyu dogo utundu umemzidi

huyu dogo utundu umemzidi

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
491
Reaction score
180
cheki huyu dogo utundu umemzidi
 

Attachments

  • image002.jpg
    image002.jpg
    13.7 KB · Views: 167
hapana wengine wanakata kama mdogo wangu alishawai kujikata mwenyewe uku anasema mimi ni mkurya lazima nijikate
 
anataka ku-control ukubwa wake ili baadaye isijewaumiza wenzake.
 
Hii ngumu sana, mimi hadi leo bado naogopa, teh teh teh teh...
 
dogo kakatwa kucha, hivyo hapati raha ya kujikuna, ndo kaona bora atumie kisu kujikuna kama vile anampara samaki kutoa magamba yake
 
Au ndio staili yenyewe ya kujivua magamba part 2
 
Hajajua faida yake ni nn laiti angeijua asingejaribu kuikata!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom