Huyu dada hataki twende guest, anataka aje kwangu

Huyu dada hataki twende guest, anataka aje kwangu

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,957
Reaction score
8,005
Huyu mchumba wangu yeye na gest house ni paka na panya ,anataka aje kwangu sasa wakati mwingine mazingira ya kwangu hayaruhusu . Ninaishi na binamu yangu na wakati mwingine panakuwa na watu wananitembelea sasa huwa kwa maongezi zaidi.Nammshauri twende hoteli hapendi

Nishaurini nifanyaje.
 
hivi sio wewe ulisema mpenzio anapenda kuwahadithia kila kitu mfanyacho??? nina waswas hata mkienda huko atahadithia tu
 
Duh na bado una heshima ya kua mchumba wa mtu haaaahaaa...!uyo binti akizoea kwenda guest house kesho utakuja na uzi mpya kua mchumba anapenda kulala nje ya nyumbani.
 
hayo mazungumzo gani yakufanyia hotel?
Tafuta room ya peke yako ushakuwa mkubwa wewe, tabia za kulala watu weengi kama mko mochwari haikufai tena, mnaweza kuambukizana hata TB!

Hahahahahaha aya majibu! nimecheka mim jaman..
 
Huyu mchumba wangu yeye na gest house ni paka na panya ,anataka aje kwangu sasa wakati mwingine mazingira ya kwangu hayaruhusu . Ninaishi na binamu yangu na wakati mwingine panakuwa na watu wananitembelea sasa huwa kwa maongezi zaidi.Nammshauri twende hoteli hapendi

Nishaurini nifanyaje.

We huna kitanda wala kochi tofauti na unavyomtangaziaga mambo safi ndo mana hutaki aje ashuhudie ukweli.
 
Huyu mchumba wangu yeye na gest house ni paka na panya ,anataka aje kwangu sasa wakati mwingine mazingira ya kwangu hayaruhusu . Ninaishi na binamu yangu na wakati mwingine panakuwa na watu wananitembelea sasa huwa kwa maongezi zaidi.Nammshauri twende hoteli hapendi

Nishaurini nifanyaje.
Hujaacha mambo yako ya kitoto.
 
Huyu mchumba wangu yeye na gest house ni paka na panya ,anataka aje kwangu sasa wakati mwingine mazingira ya kwangu hayaruhusu . Ninaishi na binamu yangu na wakati mwingine panakuwa na watu wananitembelea sasa huwa kwa maongezi zaidi.Nammshauri twende hoteli hapendi

Nishaurini nifanyaje.

Siku anayokuja waambie ndugu zako wasije kwa vile una mgeni
 
Kwenda gesti si vema
Kaeni mweleweshane ataelewa tu kwani mnataka kufanya mabo gani mkiwa gesti?
 
si umwambie ukweli,chumba ni binamu wako ivyo hauna mamlaka nacho.
 
hayo mazungumzo gani yakufanyia hotel?
Tafuta room ya peke yako ushakuwa mkubwa wewe, tabia za kulala watu weengi kama mko mochwari haikufai tena, mnaweza kuambukizana hata TB!

Duh aisee we jamaa una madongo kweli kweli😀
 
Duh kk co ww2 hata mm hch kizaazaa nncho...yan huwa naptag wakt mgm sana nkitak kumeet nae yan hata celew
 
Interejensia yangu inaniambia kuwa kijana analala chumba kirefu......

Ndo koridoni au wapi hapo chumba kirefu. Sio chumba kierfu ila inasongana na nyumba ya mwenye nyumba anapolala . Changanya na ndugu m wageni unaweza kuharibu PIIIIIIIIIII
 
Back
Top Bottom