adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,928
- 5,334
hayo mazungumzo gani yakufanyia hotel?
Tafuta room ya peke yako ushakuwa mkubwa wewe, tabia za kulala watu weengi kama mko mochwari haikufai tena, mnaweza kuambukizana hata TB!
Hahahahahaha
hayo mazungumzo gani yakufanyia hotel?
Tafuta room ya peke yako ushakuwa mkubwa wewe, tabia za kulala watu weengi kama mko mochwari haikufai tena, mnaweza kuambukizana hata TB!
Chumba kirefu ni sebuleni....yaani unakuwa mtu wa mwisho kulala na mtu wa kwanza kuamka.........Ndo koridoni au wapi hapo chumba kirefu. Sio chumba kierfu ila inasongana na nyumba ya mwenye nyumba anapolala . Changanya na ndugu m wageni unaweza kuharibu PIIIIIIIIIII
hapo utakuta unajisingizia binamu yako yupo kwako kumbe we ndo unakaa kwake
mke mtarajiwa mzuri huyo anaona kwenda guest ni matumizi mbaya ya pesa ushauri wangu oa huyo.