BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Mbona gwajima aliweza?Ohoo! Kaka mke wa mtu atakuletea shida... we baki unamwangalia tu mwache aende zake.
Mbona gwajima aliweza?Ohoo! Kaka mke wa mtu atakuletea shida... we baki unamwangalia tu mwache aende zake.
Hata bila makeup yko vzr tu
tena anarudi kinyume nyumeMke wa mtu huyo utakojoa dagaa
Jiandae na ww kupendwaKwani mtu akiolewa anakuwa zombi kias kwamba hatuwez kuuona uzuriwake?, Yan hapa aolewe asiolewe m napenda Tu full stop [emoji113]
Mkuu hata pete huoni???
ni msanii au?Hata bila makeup yko vzr tu
Wapendwa kama Dhambi ya kutamani itatuingiza motoni ni kupitia huyu dada, Huwa ananimaliza sana.Mimi wewe gonjwa moja