Huyu dada anautesa moyo wangu..!!

Huyu dada anautesa moyo wangu..!!

Mkuu duniani heshimu mke wa mtu,labda kama uko tayari kwa yatakayo kukuta sio kitamaduni tuu hata kiimani za kidini......
 
She is cute.....

A lady from Kagame land....
 
Nilisikia hivo na kwa muonekano wake wa sura pua na umbile nimethibitisha hivyo.... anaelekea na wa Kagame. Sina hakika zaidi
Ni kweli ana mdogo wake uyo ni nyoko
 
Kwani mtu akiolewa anakuwa zombi kias kwamba hatuwez kuuona uzuriwake?, Yan hapa aolewe asiolewe m napenda Tu full stop
Ngoja uje utiwe dudu nyuma ndo utaelewa vijan mnawaka tamaa mpaka kwa wake za watu mkioteshwa mabusha mnakaa kulia lia
 
Ni kweli ana mdogo wake uyo ni nyoko
Huyo mdogo wake mie simfahamu, kama hajaolewa anaweza kukidhi kiu ya mleta mada.
Cc: kabon14

Ila wananifurahishaga hawa watu utasikia nyumbani Kigoma hehehe, sasa sijui wanaficha nini wakatu umbile lake linamtambulisha ni wawapi japo si wote. Pia kuna wale ambao mama ndo wa huko ila baba wa huku hivo watoto wanarithi mbili ya ujombani.
 
Hainaga ushemeji tuna manfongo
ukitatuliwa linda zako ndo utajua kama maharage cio mboga.... Mme wake ni mtu mkubwa tu apa nchini tena secta nyeti kulko nyeti zetu hizi
 
Back
Top Bottom