Huyu dada anautesa moyo wangu..!!

Huyu dada anautesa moyo wangu..!!

ukitatuliwa linda zako ndo utajua kama maharage cio mboga.... Mme wake ni mtu mkubwa tu apa nchini tena secta nyeti kulko nyeti zetu hizi
Yuko sector gan mkuu?
 
Usijali. ...unaweza kuta anaboa kishenzie.

Naweza fananisha hizo hisia zako na kitu wakoloni wanakiita MIRRAGE.

Huwezi nielewa kwanza mpaka uwe na demu mkalii alafu ukamzoea wala hushtuki akiwepo.
 
Akikuonjesha huyu walah lazima unene kilugha kitanda....rikakasika sintanaborita ashhhhhhhh mhhhh
 
Back
Top Bottom