Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
- Thread starter
- #101
Narudia tena asanteni kwa ushauri wenu na hakika nimemwacha huyu binti kwani hapa nimeonda dalili zote za kuja kupata ukimwi na kugombana na mke wangu
Billie unatumia kinywaji gani?
Kuwa uyaone
juice ya kutengeneza nyumbani kama ikikosekana leta hata zile za azam i mean tropical juice. Bora unipoze na hiko kinywaji maana mi ni muhanga wa mazee majinga kama haya nilimpoteza mpz wangu kisa zee moja lilikuwa linamfuata na RAV4 chuoni na kumpeleka hosteli nimechukia sana kuona huu uzi aiseee.
Ooh oooo huwa haviachwagi hivi vibint vinaitwa vipoozeoNarudia tena asanteni kwa ushauri wenu na hakika nimemwacha huyu binti kwani hapa nimeonda dalili zote za kuja kupata ukimwi na kugombana na mke wangu
Jamani hili zee lina laana ati kwanza ni jizi kwa mkewe arafu linatuomba msaada kwa ushenzi linaofanya.Kwa kweli limenitibua sana haya ndo yanatusumbua sisi vijana kwa kutupa UKIMWI.we mzee unajiita kijana kwa kweli unastahili lawama na mitusi sio ushauri kama unavyodai kwenye thread yako.Shenzi mkubwa yaani ningekuwa karibu yako ningekupa na konzi la conclusion aiseeee.KWELI TZ BILA UKIMWI HAIWEZEKANI KABISA.
Narudia tena asanteni kwa ushauri wenu na hakika nimemwacha huyu binti kwani hapa nimeonda dalili zote za kuja kupata ukimwi na kugombana na mke wangu
Dah!Itafikia wakati mwizi atafungua kesi kudai mali ya wizi aliyodhulumiwa na jambazi mwenzie.
'
Hapa ndipo tulipo.
'
Hatuoni haya wala soni.
'
Shame on us!
Watanzania wanaogopa talaka kuliko UKIMWI! Go figure!
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.
mnhhhhhh
40 yrs unauliza swali kama hili bure kabisa source Mwai Kibaki
Ile hekima ya kiafrika imepotelea wapi? Hili nalo jambo la kuomba ushauri? Utajisikiaje kama mkeo nae anawanaume watatu nje? Mungu akurehemu