Huyu binti kanikera naomba ushauri

Huyu binti kanikera naomba ushauri

Hv huoni aibu kuja hapa jf kutaka tuhalalishe ufataki wako?
Wewe ni fataki kama umemchit na kumsaliti mkeo umekuwa nani usisalitiwe?
Kwa taarifa yako na mkeo anachit pia
Hapa nimerudi mdogo mdogo mkuu. yani ukitaka pressure chukua hivi vibinti vya kuanzia 20 to 30 hakuna rangi utaacha kuona.
 
Ni m.p..u..u.z..i kweli hata mi na mshangaa, alitaka ati huyo binti awe mwizi mwaminifu kwake wakati ameshaoa, kama yeye anachit iweje akichitiwa alilie lie, mwosha huoshwa, sasa na mkewe anachit pia
kaka we wa ajabu kweli mwizi kakutana na mwizi mwenzie anaitia mwizi mtakamatwa wote maisha ni kudanganyana kama hapo sasa hao wenzio ni wale uliobahatika kuwafahamu je hao ambao huwafahamu kimeo
 
Una mke na watoto 2 bado unahangaika na kei za machangu hujihurumii wewe na familia yako
 
wewe mwenyewe mzinzi halafu unamtuhumu mwenzio ambae hana ndoa kwa uzinzi. Kwa nn unaona kibanzi kilicho katika jicho la mwenzako na unashindwa kutoa boriti lililo katika jicho lako?
 
Ata ucmlaumu huyo bnt alvyofanya, ukimlaumu na we pia unatakiwa ujiulize kisa cha kumwacha mkeo na kumfata bnt, muache coz ye ndo anatafuta wa kumuoa ni wakat wake kufanya ivyo na we ushaoa tena na watoto wawil ni wakat sasa wa ku2lia na kuangalia familia yako na c mabint! :sleepy:
 
kwa nini ana kijana tafakari chukua...

Wazee wanatoa huduma wakati vijana wanatoa dozi bila kuhudumia. Vibinti vinataka sana huduma na dozi vivyo hivyo, wanaogopa kuchelewa kwani siku hazirudi nyuma. By the way hakuna jipya, vyote ni marudio.
 
Hahaha, endelea nae jamani! Mwenzio hajatoshelezea hela ya kununua kagari. Ukimuacha itamuaffect. Mungu kakuonyesha ili umuonye tu yaishe. Hahahaa, nacheka kama mazuri!
Majuzi nilimjibu mdada anahaha mumewe kanuna. Nikamuambia labda anatiwa stress na nyumba ndogo, as long as kanuna ghafla ignore him. Siku hizi hatubebeshani stress aisee. Nyamayao, ushatoa ushauri jamani? Njoo dada.


huku ofisini wakijaga na vi stress vyao vya wadada huwa nawaambia watulizane wakwanguliwe vizuri, hao wadada wanawachuna tu, na hakuna mdada atatembea na mume wa mtu kimapenzi ya dhati labda awe tahaira, sasa huyu nae anataka kumfanya kama permanento wakati hapo mdada anajua yupo kimaslahi ndio mana bado anasagura sagura kwingine,kazi wanayo, libaba lizima hata haya hana.
 
Hivi uko siriaz unaomba ushauri!! Mwe!
Mpe basi maujanja yako
 
kwa mtindo huu tutasaidiwa sana NA WATU WAMAREKANI!
 
Tulia na mkeo acha kuhangaika, maradhi mengi. pia kumbuka unafamilia inakutegemea!!
 
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.

Hivi ni kwa nini tunakuwa wajasiri wa kudhihirisha upumbavu wetu mbele za watu? Hivi kama ingelazimu kuweka picha zetu halisi kama sharti la kupost mada hapa JF mambo haya ya uzinzi ungeyasema kwa madaha namna hii?

Unasema una miaka 40 na bado una mawazo na akili za kitoto, haya ndio maisha unamfundisha binti yako kwamba naye atembee na waume za watu bila aibu wala hofu ya Mungu?

[SUP]32[/SUP]Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Mithali 6:32


Wote tunatenda dhambi, lakini kufikia kujisifia na kuona kwamba hili ni jambo la kijasiri na kujisifia ni upumbavu. Leo hii kuna magonjwa mangapi utayapata kwa uzinzi?

Leo upo MMU unatuomba ushauri wa namna gani ya kuzini, kesho tutakutana JF Doctor ukiuliza vyakula gani vinaongeza kinga mwilini. Ficha upumbavu wako, ndoa yako ndio rehema Mungu amekupa. Na huyo binti mpumbavu pia, mwanamke mwovu avunjaye ndoa ya mwanamke mwenzake.
 
hivi maadudu kama haya ..... watu wanaombaga ushauri pia. upuuziiii tuuu. Ngoja wakushauri wanaosupport ujinga wa namna hii.
 
kama wewe unavyomanage kumpanga na mywife wako. By the way.... ulitaka yeye asiwe na vijana wenzie umwoe wewe awe mke wa pili????????????????????????????????
 
Jamani hili zee lina laana ati kwanza ni jizi kwa mkewe arafu linatuomba msaada kwa ushenzi linaofanya.Kwa kweli limenitibua sana haya ndo yanatusumbua sisi vijana kwa kutupa UKIMWI.we mzee unajiita kijana kwa kweli unastahili lawama na mitusi sio ushauri kama unavyodai kwenye thread yako.Shenzi mkubwa yaani ningekuwa karibu yako ningekupa na konzi la conclusion aiseeee.KWELI TZ BILA UKIMWI HAIWEZEKANI KABISA.

Billie unatumia kinywaji gani?
 
Last edited by a moderator:
thank u dia the pleasure is mine, huyu mbaba mbulula sana, epuka hizi species swaiba.
 
Back
Top Bottom