Huyu binti kanikera naomba ushauri

Huyu binti kanikera naomba ushauri

daaaa mzeee kama mkeo hakutosheleziii ingia dini ya kiislam ni nyepesi sana uwowe wa pili mpaka nne kama una uwezo wa kuwamiliki. Unatafuta maradhi ya kusudi wakati njia nyepesi ipooo na kama ukimfanyie mwana wa mwenzio ivo na wako atafanyiwa be alart mana kama mkeo hakutimiziii utatoka njeeee tooo wewe.Daaaa wewe umri wa kama baba angu lakini akili zako hazijatulia.
 
sawa mzigo anao jiandae ukutane nae akuachie kilo 2 za HIV wewe sasa ni mtu mzima baada ya kuangalia familia yako unahangaika na watoto wadogo jee angekua mtoto wako anafanyiwa mchezo kama huo ungejisikiaje badilika kaka dunia ndio hii hii angalia familia yako ili ije kua inamtambua Mungu
 
Kaa Ukijua Kuwa hata Mkeo Anachukuliwa Vilevile

What goes around comes around..

We Ni Mwizi na Mkeo Anaibiwa vilevile
 
Back
Top Bottom