Huyu binti kanikera naomba ushauri

Huyu binti kanikera naomba ushauri

Aisee dozi nilikuwa nampatia ya kueleweka tu

Hiyo dozi wewe umetathmini na umeidescribe vp? unazugwa na vilio vya uwongo ili mradi kwake maisha yawe tambarare kwake na hakuna kingine! pia hilo suala la dozi ya kutosha is just according to you. mwisho kabisa mkeo ana mapungufu gani yasiyorekebika hata uwe na kimada? how old is she? unless uje na hoja kwamba tayari yupo kwenye menopause nawe bado unahamu ya kunyulula wakati yeye hana hisia.
 
Me nakushauri muache kaa na mkeo mkiwa kwenye mahaba mwambie vile unataka akufanyie ili ufaidi tunda huyo mdada kakujua udhaifu wako anakufanyia maufundi ya wizi tu ninachokiamini mimi pipi ni ileile je unailambaje huenda kwa mkeo unaiona ya kawaida avha kujenga mazoea weka hisia zako za mahaba kwa mkeo uepukane na kero ya utumwa wa ngono
 
Ni kweli si unajuwa tena vigharama vyake. kodi ya nyumba, transport, simu, outing, pocket money etc
Khaaaaaaaaaaaaaaaaa! Yaani vyote hivyo mnatoa, na mm naenda kumwambia Baba K aniache , nikawe small house, kumbe wenzetu wanafaidi ile mbaya. Maana umegundua mko 3 , lakini bado hukubaliani na hali halisi na kuchukua hatua madhubuti ukarudi kwa mkeo, unakuja hapa jamvini kuomba ushari. Tena unamsifia kuwa anakupa Dozi nzuri, Maweeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
 
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.[/QUOTE/]
Wala hilo lisikushtue na wala usiwe na wivu coz hata we ni cheater vilevile,unamcheat wife wako so acha naye binti apate wa kumuoa sababu we huwezi kumuoa as una mkeo unachofanya hapo ni playing with her.
Ndo ujue kaka inavyoumiza kuwa cheated mfikirie wife wako siku akijua unamcheat atajisikiaje?
 
Nashukuru kwa ushauri niliopewa na JF and I have made up my mind huyu binti ni MALAYA na simtaki tena, ngoja aendelee na umalaya wake na mimi nimeamua kutulia na mke wangu. Nitaungama dhambi zangu na najuwa Mungu atanisamehe.

Ushauri wazee wenzangu tusihangaike na hivi vibinti ni pressure tu na kutafuta magonjwa.


Hiyo pocket money uliyokuwa unampa alikuwa anakula na wanaume wenzako,hivi mnakuwa mmelogwa au vipi/si ajabu mkeo anakuomba hata hela ya chakula nyumbani humpi du.haya bwana.
 
wewe ni mjinga kabisaaa na kama wewe ni mkristo umetenda dhambi ya usaliti mkubwa na matunda yake utayaona kwa watoto wako baadae, nenda katubu, tena huna akili kabisaa kuomba ushauri kwa watu wazima na wenye akili zao kama jf, very sooon utakufa kwa ukimwi kama usipotubu na kurudi kwa mungu, kwani mke wako ana kosa gani mpaka umtendee unyama huo mkubwa, tubu hili pepo ngono likutoke
 
Jiulize, Mko Wangapi ? Kumbuka kuwa huyo Binti hakupendi, ila kaja kwako kama kitega uchumi. Katika uwekezaji, inasahuriwa kuwekeza sehemu capital yako tofauti tofauti ndio maana vitega uchumi vya huyo Binti mko zaidi ya watatu.
 
Dah!Itafikia wakati mwizi atafungua kesi kudai mali ya wizi aliyodhulumiwa na jambazi mwenzie.
'
Hapa ndipo tulipo.
'
Hatuoni haya wala soni.
'
Shame on us!
 
hata kama ni nyumba ndogo uaminifu ni muhimu sana, kwasababu mapenzi ni gharama sio kulala tu kitandani!
 
Hapa nimerudi mdogo mdogo mkuu. yani ukitaka pressure chukua hivi vibinti vya kuanzia 20 to 30 hakuna rangi utaacha kuona.
Acha fix wewe, hivyo ndo vitamu pia vinakuwa havijatumika sana. Cha msingi ni kuwa mjanja halafu unavila kwa foleni ila kupiga hemai..! Huyu lofa alijenga kibanda ndo maana imekula kwake..!
 
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.

Wewe ulitegemea uwe peke yako na wakati kwa mkeo hauko peka yako...."Sime linakata pande zote" na kwa magonjwa haya nashauri kila mara Uapdate taarifa zake za URIDHI usije waachia watu majanga.
 
lakini pia wewe ni lazima akili aliyokupa mungu uitumie sawasawa, kama msichana amekiri mwenyewe kuwa na mahusiano nje ya mahusiano ni sawa na mwizi aliye kiri kosa mahakamani hatua inayofuata ni kuhukumiwa - ukimuacha umemsaidia sana nawe pia umeepuka mengi, wewe ni mtu na familia yako kwani mkeo amepungukiwa na nini!
 
Kwa kweli ngoja nipite tuu. Sina cha kushauri. Ila tuu watoto anza kuandaa atakayewalea pindi ukizikwa wewe na mkeo.
 
Hapa nimerudi mdogo mdogo mkuu. yani ukitaka pressure chukua hivi vibinti vya kuanzia 20 to 30 hakuna rangi utaacha kuona.

Angalia kasije kukuletea na ukimwi juu mkuu,be a good husband to u're wife
n children as well.
 
Usijitie BP isokua yalazima,mtoto anakua na mtoto mwenzie kwako kipo anachokifata sio penzi....
 
wewe ni mjinga kabisaaa na kama wewe ni mkristo umetenda dhambi ya usaliti mkubwa na matunda yake utayaona kwa watoto wako baadae, nenda katubu, tena huna akili kabisaa kuomba ushauri kwa watu wazima na wenye akili zao kama jf, very sooon utakufa kwa ukimwi kama usipotubu na kurudi kwa mungu, kwani mke wako ana kosa gani mpaka umtendee unyama huo mkubwa, tubu hili pepo ngono likutoke

Hata kama ni Muislam au Mpagani bado kosa halisafishiki
 
Back
Top Bottom