unanichukulia demu wangu wakati wewe una mke! kwa taarifa yako tuko wa4 na huyo demu anauza kwa wengine pia. pesa unayomhonga huwa ananigawia...juzi tu kaninunulia mashati mawili mapyaaaa! jinyonge tu!Mimi sina shida ila kumsaidia ni lazima, yeye angekuwa na mchumba m1 sawa. sasa wachumba wa2 na mimi wa3
muone,lol kama ulitumwa na aliekufungisha ndoa! MwehHapa nimerudi mdogo mdogo mkuu. yani ukitaka pressure chukua hivi vibinti vya kuanzia 20 to 30 hakuna rangi utaacha kuona.
Woote mliompa za uso huyu jamaa mko sawa kwa kiasi fulani.... Lakini tena hapa watu wengi ni wanafiki kupindukia! Jana kuna uzi wa mzinzi mmoja aliyeachwa nilipitia hapa karibu wote wanamtia moyo kuwa atapata mzinzi mwingine wa kuwa naye na asilimia kubwa ktk michango yao wakafikia hatua ya kumtaja 'mungu' ktk nasaha zao! Ajabu ni kuwa hakuna hata mmoja aliyemuonya kwa uzinzi wake na kumshauri KUTUBU kwa Mungu ili asamehewe na apate hiyo faraja ya kweli na guidance kwa future yake! Mimi huwa najiuliza Imani/desturi/mila gani inaruhusu uzinzi/uasherati kwa vijana/watu walio single na ikaharamisha kwa walio kwenye ndoa?! Kama tuna misingi mibaya ya uaminifu na maadili wakati wa ujana inakuwaje tutarajie kuwa ghafla tu tutakuwa 'waaminifu/watakatifu' mara tu tunapoingia kwenye ndoa??? Kijana anayetafuta sbb za kuhalalisha uzinzi(?) wake kbl hajaingia kwenye ndoa hatashindwa kutafuta sababu za kuuhalalisha hata atakapokuwa kwenye ndoa... Tusidanganyane.. unafiki ni hatari kuliko ukimwi.
ulivyomuacha mkeo ulitegemea nini?
Mko wangapi haikuhusu ukitaka wa peie yako tulia kwa mkeo....... La sivyo mkeo atapewa mzigo nje kama unavyopewa wewe.....
Kukushauri tu kwa huyo binti fata kinachokupeleka...... Ana wangapi hayakuhusu
Siyo kweli!Hakujawahi kuwa nakitu kama hicho, sijui hekima za kiafriaka na ndio maana tuko hapa tulipo!
Halafu kweli, yeye kakimbia kwa mkewe then analalamika eti anakerwa, wewe ndo unakera brother kama mke unae unategemea hyo bint ummiliki peke yako? huna sababu ya kumuuliza habari za wanaume wake, wewe weka wivu kwa mkeo na si kwa hawara,. na miaka yote 40 ushaanza kushoiya hivi kwa kuuliza maswali ya kipuuzi, sasa ukifikisha 60 si itakua balaa., please achana na vibinti rudi kwa mkeo, tunza na uipende family yako leeni watoto wenu, utamaliza bucha nyama ni ileile!
Mimi sijui vijana mnafanya nini mana hawa wabinti wadogo wanapenda kutoka na sisi wazee, mimi sijui mtapaje wachumba nyie
Ushauri mzuri sana.
Lakini mtu mwenyewe Nduka Original . . . .mtahangaika tu na hiyo tabia haachi ng'ooo!
Labda sio yule tuliyemzoea.
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.