huyu atakuwa kafanya kosa gani?

huyu atakuwa kafanya kosa gani?

Joeli

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
4,941
Reaction score
3,417
310016_461586837259401_489233330_n.jpg


huyu atakuwa kafanya kosa gani?
 
Kwa kisukuma inaitwa 'Ikarangiro'

Unachapwa hadharani kama ndugu wa ukoo wakija kwako na kukuta nyumba imeanguka halafu baba mwenye nyumba hujali au hujajenga nyingine
Unachapwa hadharani, afu unalipa faini ya ng'ombe na unapewa muda kadhaa kujenga nyumba hiyo.
 
Mchapaji kavaa .... kichwani sio Adhabu
ya Sharia inatekelezwa hapo maana hataree.
 
du adhabu nyingine bana sio ishu kwa mtu mzima tena hadharani he he he he he he
 
Kama nyumba tu mtu kashindwa kujenga hao ng'ombe atawatoa wapi?

Kwa kisukuma inaitwa 'Ikarangiro'

Unachapwa hadharani kama ndugu wa ukoo wakija kwako na kukuta nyumba imeanguka halafu baba mwenye nyumba hujali au hujajenga nyingine
Unachapwa hadharani, afu unalipa faini ya ng'ombe na unapewa muda kadhaa kujenga nyumba hiyo.
 
tehetehe picha imenikumbusha kijijini,jamaa kashikwa ugoni huyo hapo wananzengo wanamfundisha adabu
 
Kule kama huna ng'ombe basi wee ni maskini wa kutupwa
Na ni familia chache sana hazina ng'ombe


Kule kushindwa kujenga nyumba huwa haihusiani na kutokuwa na ng'ombe
Nyumba zenyewe ni tembe, ni kuingia msituni kukata magogo, udongo upo, maji yapo na nyasi za kuezekea zipo
Wengi wanaoshindwa kujenga huwa ni ulevi tu

Kama nyumba tu mtu kashindwa kujenga hao ng'ombe atawatoa wapi?
 
Back
Top Bottom