Huyu askari kwa sasa anasota rupango

Alishahukumiwa?

Huyo alikuwa ni askari wa kituo kipi alipomfanyia Nape hivyo?
 
Mimi mwenyewe nilisikià yupo nje ya nchi,kikazi.
Tatizo watu huwa wanamchaganya huyu Mwamba. Yaani huyu jamaa afikishwe Mahakamani kweli, picha zake siku hiyo zisijae mitandaoni na magazeti yasiandike. Mwamba mimi nimepiga naye mzigo sehemu opokuwa amepumzika zake, mda wake ulipousha alirudi Dar, baadae akakwea chuma!
 
Wacha kudanganya watu mzee mwenzangu
 
Anyongwe tu
 
Hakuna siku niliona vibaya kama siku Nape alivyofanyiwa hivyo. Yaani ilifikia Waziri kudhalilishwa namna hiyo. Iiisikitisha na kunitisha sana. Mpaka mitandao ya kijamii nikawa naiogopa.
Jiwe alikuwa anawafuga hawa wajinga kiasi wakajiona wao ndiyo watoto wa Mungu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…