Mamy unajua kinachotuponza ni kuwa tumeumbiwa mapenzi ya dhati unakuwa mvumilivu ukijua utamsahauri abadilike lakini mhh unakuwa unawaza labda yeye ni mkweli kumbe same track.Mmmh.... Wanaume wengine jamani..!
Ila jamani wadada tuwage tunasoma signs za mwanzoni mwanzoni tuu..
Ukiona tuu mwanaume hasomeki mwanzoni yaani muache mapeema kabla hajakuacha wewe..!
kwanza kabisa,we kama wwe unajiskia dhamira yako inakutuma nni?Waweza kuwa unajaribiwa mtoto,ukafuata hzo post hapo juu ukakosa rizk.Wanaume tulio wengi ndani na nje ya ndoa hatukosi MATATIZO.Uvumilivu ni muhmu dada angu,Ebu muweke kwenye probation period,at least 2months uone result.Angalia usiruke Mkojo uka.....
Mamy unajua kinachotuponza ni kuwa tumeumbiwa mapenzi ya dhati unakuwa mvumilivu ukijua utamsahauri abadilike lakini mhh unakuwa unawaza labda yeye ni mkweli kumbe same track.
My dear, hata mimi zamani nilikuwa na mawazo hayo hayo..!
Ila baada ya kunikuta yaliyonikuta saivi nikiona mwanzoni tuu haeleweki, nasepa haraka saaaana..!
Asante wangu kunifungua akili siwajua mapenzi upofu.