Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

ladypeace hapo hakuna mapenzi! Kukaa kimya ni ishara yakuto jali kabisa!
Lakini bora kakuwashia taa mapema!

Asante ndugu yangu maana niligeuzwa mateka yaani akiwa na shida ndo anapiga tena ananiomba nimpigie .
 
Last edited by a moderator:
Relax,,buy time,,dont rush to conclusion..
 
aiyaa ndo ulishaliwa hivo.unajua kitu inaitwa hit and run? ndo icho kilichokukuta.pole sana lakini.alikuwaje lakini maana naona alikuchanganya hadi unabipiwa wewe unapiga tu daily sio mchezo

Hapana that's how am nikimpenda mtu na kumpokea huwa najitoa kwake ila ikizidi sasa kama hii inanigeuza mtumwa.may be hiyo point ya ni hit and run naona kweli.
 
ladypeace,hata wewe utakuwa na matatizo pia.Mtu hupenda kwa sababu;huacha kwa sababu.Jichunguze vyema na ujirekebishe.Kwa ushauri zaidi,ni-pm
 
ladypeace,hata wewe utakuwa na matatizo pia.Mtu hupenda kwa sababu;huacha kwa sababu.Jichunguze vyeme na ujirekebishe.Kwa ushauri zaidi,ni-pm
Sikatai but ili nijue tatizo langu natakiwa kuambiwa na mtu especial yeye kama mimi nilivoona tatizo nikamwambia but akikaa kimya mie siwezi jua ili nijilekebishe.
 
Last edited by a moderator:
Sikatai but ili nijue tatizo langu natakiwa kuambiwa na mtu especial yeye kama mimi nilivoona tatizo nikamwambia but akikaa kimya mie siwezi jua ili nijilekebishe.
Nani awezae kujua matatizo ya mwingine kama si yake mwenyewe? Hakuna uwezekano wa mtu kukueleza matatizo yako na wewe ukaridhia kujirekebisha. Si ni wewe ambaye hufeel kudo? Nalo ni tatizo. Halafu,marekebisho mtu haambiwi;huyafanya mwenyewe
 
Nani awezae kujua matatizo ya mwingine kama si yake mwenyewe? Hakuna uwezekano wa mtu kukueleza matatizo yako na wewe ukaridhia kujirekebisha. Si ni wewe ambaye hufeel kudo? Nalo ni tatizo. Halafu,marekebisho mtu haambiwi;huyafanya mwenyewe
Umeongea vyema sana mkuu lakini kumbuka upendo ni zaidi ya haya unapompenda mtu hata kama anatatizo yu can't run zaidi utakaa na kujalibu kuongea nae kutafuta suruhu yake maana unampenda ukishaona unaona wekness ya mpenzi wako unakimbia basi hiyo ni tamaa na sio penzi
 
Yaani hali hiyo unakuja kuuliza kama umekwama au vipi?, kweli we kipofu.

Pole sana. Ila swali la kizushi mlikutana wapi?, siku za mwanzo zilikuaje?, alipiga mambo yake?

Unajua kama mtu hakutaki akipiga mambo tu baaaas kwisha kwishnehi!
 
Umeongea vyema sana mkuu lakini kumbuka upendo ni zaidi ya haya unapompenda mtu hata kama anatatizo yu can't run zaidi utakaa na kujalibu kuongea nae kutafuta suruhu yake maana unampenda ukishaona unaona wekness ya mpenzi wako unakimbia basi hiyo ni tamaa na sio penzi
Nani kakuambia kuwa jamaa amekimbia? Labda amekupa nafasi ujirekebishe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom