je kweli ananipenda au ananidanganya

je kweli ananipenda au ananidanganya

kitali

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
6,311
Reaction score
9,628
mimi ni msichana ninampenzi nampenda ila anitumie msg ,hanipigia anaweza kukaa hata wk hanitafuthi mpaka mimi nimtafute .unawezakuta namtumia msg hajibu nikumuliza mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili anadi nisijali yupo pammoja na mimi ananipenda na mim ndiye mke wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli au ananidanganya
 
mimi ni msichana ninampenzi nampenda ila anitumie msg ,hanipigia anaweza kukaa hata wk hanitafuthi mpaka mimi nimtafute .unawezakuta namtumia msg hajibu nikumuliza mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili anadi nisijali yupo pammoja na mimi ananipenda na mim ndiye mke wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli au ananidanganya
kichwa chako ndio serikali yako, ukiyataka ya walimwengu ni mengi sana, Biblia inasema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe vise versa is true, kupenda na kupendana kuna hitaji uvumilivu
 
Daa ni vyema ukawa unaandika habari vyema!

AKUPENDI KABISA HUYO kana ujaongeza chumvi kwenye habari yako!
 
Kama vile umenunua vocha ya airtel kumbe we una tigo!
 
listen your heart and make wise desion bcause your decision is life time
 
Inawezekana anakupenda ila HE MIGHT BE A VERY BORING MAN!!!!!!!
 
huyo anakupenda sema anaogopa brain cancer mambo ya kupigiana pigiana simu ukuzingatia handset yake ya kichina
 
huyo anakupenda sema anaogopa brain cancer mambo ya kupigiana pigiana simu ukuzingatia handset yake ya kichina
 
Msichana kusoma hujui hata picha huoni?nakuhakikishia hakuna mwanaume anaempenda mwanamke wake asiongee nae kwa simu hata ingalau mara moja kwa siku na kama kuna uwezekanao wa kuonana ni kila wakati anapokuwa free na kazi zake,wanaume naomba mnipinge kama nakosea
 
yaani siku ukiwa naye chukua simu yake ujionee mko wangapi kwe phonebook..hapo jamaa keshakuweka kando sema hajakutamkia rasmi tu
 
Inawezekana anakupenda ila HE MIGHT BE A VERY BORING MAN!!!!!!!
Very very possible i was going to say the same af ukute naye msichana kashazoea/anapenda yale mapenz ya kutextiana siku nzima basi aona tabuu
 
msichana kusoma hujui hata picha huoni?nakuhakikishia hakuna mwanaume anaempenda mwanamke wake asiongee nae kwa simu hata ingalau mara moja kwa siku na kama kuna uwezekanao wa kuonana ni kila wakati anapokuwa free na kazi zake,wanaume naomba mnipinge kama nakosea

kila kitu kina muda wake, unapoanza kula chakula unakuwa na speed, lakini unavyozidi kwenda mwishoni unaweza kutupa tonge kwa kushindwa kumaliza, chukulia mfano mimi nipo dar halafu wewe upo mwanza, mi nafanya kazi kuanzia saa2 mpaka 12, natoka home saa11 na kurudi saa3, saa zingine nalala na tai, ukizingatia wewe ni mpenzi wangu sijakutambulisha home na unajua mimi nakuwa bize sana, je haupo tayari kumisi call from me? (chukulia uhusiano wetu ni miaka3)
 
Mh!Mbona Kama Inanihusu Vile?
Ila Umeniudhi Kuja JF Kutafuta Ushauri..kwani Hatma Ya Penzi Hili Ni Ya Wawili,Sio JF!
 
Mh!Mbona Kama Inanihusu Vile?
Ila Umeniudhi Kuja JF Kutafuta Ushauri..kwani Hatma Ya Penzi Hili Ni Ya Wawili,Sio JF!

jiwe limetupwa gizani..hahah kimenukaa ee
 
jiwe limetupwa gizani..hahah kimenukaa ee

Alafu Watu Walivyo Na Kiralu!!?.."Eti Anakupotezea Mda"
Hivi Jamani Hamna Mambo Muhimu Ya Kuandika?
Aah!ningekuwa Mod..Ban Nishawalaza Nayo Mida Miiingi!
 
Back
Top Bottom