Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

Yaani hali hiyo unakuja kuuliza kama umekwama au vipi?, kweli we kipofu.

Pole sana. Ila swali la kizushi mlikutana wapi?, siku za mwanzo zilikuaje?, alipiga mambo yake?

Unajua kama mtu hakutaki akipiga mambo tu baaaas kwisha kwishnehi!
Asante bhana kama umeniona na wewe mi kipofu tulikuwa wote pamoja bongo hii siku za mwanzo alikuwa atirist sio kama hivo but nilijua as tunaendelea ntamwambia ninavotaka anitreat atabadilika but as siku zimeenda na baada ya kumwambia kawa worse zaidi.
 
We ladypeace!!! Are sure of ur jf name real suites yu?
Kama unapenda amani kweli..em usijipe stress mdogo wangu..
Achana nae kwani nduguyo uyo?
Umempa kakimbia.. Anae wake wa permanent na alikutamani tuu apate anachotaka.. We mpotezeee ... Ur better than him..ur confident than him.. He is such a coward moron..
Go on..move on with ya life..hajui unapumuaje.. Akuwache nawe muwachee...
 
Last edited by a moderator:
We ladypeace!!! Are sure of ur jf name real suites yu?
Kama unapenda amani kweli..em usijipe stress mdogo wangu..
Achana nae kwani nduguyo uyo?
Umempa kakimbia.. Anae wake wa permanent na alikutamani tuu apate anachotaka.. We mpotezeee ... Ur better than him..ur confident than him.. He is such a coward moron..
Go on..move on with ya life..hajui unapumuaje.. Akuwache nawe muwachee...

Thanks my dear am sure this name fit me that's me nashukuru sana kwa ushauri wako unajua inafika extent mtu unaakili but ucant think, na unamacho but ucant see,hapa ndo binadamu huhitaji mchango wa mawazo na idea za kumnasua toka hapo .nothing to say than asante.
 
Last edited by a moderator:
Nahisi mpenzi wako ni mzalendo atakuwa yupo busy sana na majanga yanayosumbua taifa si umesikia vugu vugu la gesi huko mtwara

Haha haa.. We MKATA KIU unaleta masikhara kwenye maswala yanayoumiza mioyo ya watu.

Mleta mada .. Mapenzi ni two way trafiki lol.. Nipe nikupe, nijali nikujali.... Kama huyo hataki ku comunicate sa mnapendana nini???

Au meseji unazo mtumia mkuu hazina mashiko...?? Hazisisimui mtu kujibu lol anaamua kupotezea.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaa! WANAUME WA SIKU HIZI KWA KUPENDA VIPAPA!!!!!!!!!! Khaaaaaaaaaa! Akisha onja anatoka nduki kama sio mbio za masafa marefu!
Mmmmmmmmmmmh!
 
Hahahahaaaaaaaa! WANAUME WA SIKU HIZI KWA KUPENDA VIPAPA!!!!!!!!!! Khaaaaaaaaaa! Akisha onja anatoka nduki kama sio mbio za masafa marefu!
Mmmmmmmmmmmh!

sio wote
 
hahha wanaume wa kweli hao...unagegeda na kusepa....
 
Hahahahaaaaaaaa! WANAUME WA SIKU HIZI KWA KUPENDA VIPAPA!!!!!!!!!! Khaaaaaaaaaa! Akisha onja anatoka nduki kama sio mbio za masafa marefu!
Mmmmmmmmmmmh!

hahhha mweli wanaume wa ukweli anagegeda na kusepa bwana
 
Haha haa.. We MKATA KIU unaleta masikhara kwenye maswala yanayoumiza mioyo ya watu.

Mleta mada .. Mapenzi ni two way trafiki lol.. Nipe nikupe, nijali nikujali.... Kama huyo hataki ku comunicate sa mnapendana nini???
Mimi ni mdada mcha Mungu na muelewa pia najua thamani ya penzi zaidi ya unavozania idid everything possible kumpenda na kumwonyesha pia kama nampenda na kumhitaji lakini ndo hivo.Hadi naiandika hii issue hapa jua nimetumia akili ya kuzaliwa na uelewa nikachemsha that's why mkaomba msaada.mi naamini kwa mpenzi wako unaempenda hakuna chochote kisichona mashiko kila akitoacho ni thamani kwako.
 
Last edited by a moderator:
Pole dada yangu sasa kwa kukusaidia tu ni kwamba ni PM halafu unipe namba mi nitakuonyesha jinsi ya kupenda.watu wengine hawajui maana ya kupenda na kupendwa inaleta shida sana hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom