Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

ladypeace

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
935
Reaction score
507
Heshima zenu wakuu,
Mimi nilipata mpenzi miezi 4iliyopita tukaonana tukaongea na kukubaliana kuanza ukurasa wa mapenzi.
Ajabu tokea tuwe inlove yeye always ni mtu wa kunibeep tu au kupiga akaomba kupigiwa tu nimemvumilia nikijua labda hakuwa na hella mwezi huo badae mkaona always ndo stairi hiyohiyo.
Mbaya zaidi hajibu massage hata siku moja na ukimpigia kumuuliza anakwambia ohh niko busy na chuo ohh mala nimebanwa na kazi.
Baada ya kuona nimechoshwa na hiyo tabia nikamweleza nikitegemea atabadilika mhh tena ndo kazidi.Mimi nikaamua kukaa kimya nae kakaa kimya almost wiki 2 sasa.nisaidieni huyu mtu ananipenda au nimeingia choo cha kiume?
 
yaani umeingia choo ambacho kilishajaa zamani,tena hapo badala ya kujisaidia utatoka umejaa kinyesi
kimbia shosti
mwanamke kudeka mama,hujabeep ushapigiwa,
wewe kwa nini unadate mwanafunzi,hadi apate boom aweke sms za extreme ni leo,si utakuwa ushakufa pressure mamii?
maisha ni haya haya tafuta mtu anaekufurahisha moyo wako .
huyo sio hakupendi hata sms ya sh moja kitu gani ,,haupo moyoni mwake
 
Heshima zenu wakuu,
Mimi nilipata mpenzi miezi 4iliyopita tukaonana tukaongea na kukubaliana kuanza ukurasa wa mapenzi.
Ajabu tokea tuwe inlove yeye always ni mtu wa kunibeep tu au kupiga akaomba kupigiwa tu nimemvumilia nikijua labda hakuwa na hella mwezi huo badae mkaona always ndo stairi hiyohiyo.
Mbaya zaidi hajibu massage hata siku moja na ukimpigia kumuuliza anakwambia ohh niko busy na chuo ohh mala nimebanwa na kazi.
Baada ya kuona nimechoshwa na hiyo tabia nikamweleza nikitegemea atabadilika mhh tena ndo kazidi.Mimi nikaamua kukaa kimya nae kakaa kimya almost wiki 2 sasa.nisaidieni huyu mtu ananipenda au nimeingia choo cha kiume?

Hana mapenzi na wewe achana nae, miaka hii si yakupeana mastress.Piga kibuti.:evil:
 
Kama mpaka hapo hujaelewa basi hutokuja kuelewa tena.
Simple mjamaa hakutaki
 
Mkata kiu jamani yaani mambo ya kijamii yamsababishe anisahau mimi?
 
Nahisi mpenzi wako ni mzalendo atakuwa yupo busy sana na majanga yanayosumbua taifa si umesikia vugu vugu la gesi huko mtwara

Ndugu yangu sasa sakata la gesi linaingiliana vipi na mie .
 
Yaani hutakiwi kabisa. Mtu akiwa anakupenda mawasiliano ni kila wakati and no stupid excuses!!! Hivi unauliza nini hapa wakati majibu unayo!!! Hakika mtu kama unampenda kwanza utataka kila wakati uwe naye either physically au katika chat maana tumepata na mobile phones siku hizi. Akufukuzaye hakuambii toka!! Action speaks louder than words!!! i.e matendo yanaonesha wazi zaidi kuliko maneno. Tafakari, chukua hatua!!
 
yaani umeingia choo ambacho kilishajaa zamani,tena hapo badala ya kujisaidia utatoka umejaa kinyesi
kimbia shosti
mwanamke kudeka mama,hujabeep ushapigiwa,
wewe kwa nini unadate mwanafunzi,hadi apate boom aweke sms za extreme ni leo,si utakuwa ushakufa pressure mamii?
maisha ni haya haya tafuta mtu anaekufurahisha moyo wako .
huyo sio hakupendi hata sms ya sh moja kitu gani ,,haupo moyoni mwake

Mwenzangu si bora angekuwa mwanafunzi? Ni mfanyakazi na huku anasoma ajitia ubusy mda wote utadhani time keeper.mhh nimedanganywa mkadanganyika!
 
ladypeace hapo hakuna mapenzi! Kukaa kimya ni ishara yakuto jali kabisa!
Lakini bora kakuwashia taa mapema!

Heshima zenu wakuu,
Mimi nilipata mpenzi miezi 4iliyopita tukaonana tukaongea na kukubaliana kuanza ukurasa wa mapenzi.
Ajabu tokea tuwe inlove yeye always ni mtu wa kunibeep tu au kupiga akaomba kupigiwa tu nimemvumilia nikijua labda hakuwa na hella mwezi huo badae mkaona always ndo stairi hiyohiyo.
Mbaya zaidi hajibu massage hata siku moja na ukimpigia kumuuliza anakwambia ohh niko busy na chuo ohh mala nimebanwa na kazi.
Baada ya kuona nimechoshwa na hiyo tabia nikamweleza nikitegemea atabadilika mhh tena ndo kazidi.Mimi nikaamua kukaa kimya nae kakaa kimya almost wiki 2 sasa.nisaidieni huyu mtu ananipenda au nimeingia choo cha kiume?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hutakiwi kabisa. Mtu akiwa anakupenda mawasiliano ni kila wakati and no stupid excuses!!! Hivi unauliza nini hapa wakati majibu unayo!!! Hakika mtu kama unampenda kwanza utataka kila wakati uwe naye either physically au katika chat maana tumepata na mobile phones siku hizi. Akufukuzaye hakuambii toka!! Action speaks louder than words!!! i.e matendo yanaonesha wazi zaidi kuliko maneno. Tafakari, chukua hatua!!
Asante ndugu yangu nimeuliza sababu nimechanganyikiwa siwajua upofu wa mapenzi wawza amini kila mtu asemalo hatakama anakudanganya!
 
Ruttashobolwa ;asante ndugu yangu kunifumbua macho.
 
Yupo bize anakutengenezea futute. Kua mvumilivu uje kula mbivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom