Huyajui maeneo haya!?Basi huifaham Dsm.

Mwenge...sehemu wake zetu wanaspend siku nzima wakitengeneza nywele.
Unamkuta mdada anashambuliwa na wamasai/wakongo zaidi ya wanne.

hii kitu kweli aisee nilienda x-mass niliona mdada kaweka mguu kwenye paja la mpaka rangi mama weee! Ni hatari ule mguu na ule mpakato wa mpaka rangi bado vimenikaa kichwani.
 
Mkuu hapo umenena maana sina sehemu ya kuongezea. Ila pale tazara pana eneo linaitwa Mapambano hapo utapata mahitaji muhimu ya vifaa vya ujenzi kwa bei nafuu kama madirisha na nondo lakini feki

Aseeee!! Dirisha fake likoje maana ndio nasikia kwako ivo.
 
Hili eneo lifaa sana kwa sisi wenye kipato cha chini. kwa hiyo pesa na huduma zote unazoweza kupewa!! kuna jambo:A S-coffee:
Uwanja wa fisi Oyeee
sh. 1000, unakula nyama choma, chipsi, unalewa, unakamua mzigo na unabakiza hela ya supu kesho yake.
 
kinondoni makaburini kuna wadada weupe paleeeee aiseee we acha tu.

Duh, umenikumbusha mbali sana. Kipindi nakaa pande hizo kuna wadada walikuwa wanataka kunipa bure maana nilikuwa nakutana nao mara kibao. Ila sio wabaya kwa kubadilishana mawazo.
 
kidogo nisahau kupataja sugar ray pub temeke na umaurufu wake wa machangudoa hoehae na uchomaji wa mishikaki ya zakari za mbuzi maarufu kama shua
 
kama mtu anakuja dar kutembea namshauri wakati wa sunset
apande pantoni ya kwenda kigamboni ile kubwa akae juu....

so nice....kwenda na kurudi

Mimi nimetoka huku kwetu Tanganyika Masagati sina nauli ,sinabudi kuogelea na kupiga mbizi Ni (Marquiz Original) mkuu.
 
Na pale ubungo bus terminal wametegesha wezi/matapeli wanaovizia kuibia na kutapeli abiria wanao ingia dar kwa mara kwanza.mnaoingia jijini kwa mara kwanza kuweni macho na watu hao.ukiingia
ktk 18 yao hutoki,lazima upigwe (kuibiwa/kutapeliwa).
:eyebrows::eyebrows:
 
Tandika sokoni kuna wezi wa mfukoni waliobobea.

kweli mkuu wale jamaa ni noumer. lakini wale inawezekana wanatumia madawa. wanaweza kukufuatilia kutoka Tandika hadi bonyokwa hadi wakuibie kama wamekuona una hela. wakishindwa kabisa wanakukaba. Wakiwa tandika wanakukaba mda wowote haijalishi ni asubuhi, mchana au usiku. na watu wa Tandika hata ukipiga kelele za mwizi hausaidiwi. ndo maana watu wa Tandika hawana simu kali, sio kwamba hawana hela, tatizo ni vibaka. Mia
 
mnataja Kariakoo halafu mnasahau Hoteli mbili zinazotazamana; Palace na Concorde usiku pale ndio mchana.
Hivi ukumbi wa DDC ndo umekufa au?
 
Back
Top Bottom