Huyajui maeneo haya!?Basi huifaham Dsm.

Huyajui maeneo haya!?Basi huifaham Dsm.

saigon..club

kidongo chekundu

mwembe chai

mwembe yanga
 
Vipi kwani. . . una tatizo na waChagga?

No no no! I mean hapana sina tatizo na wachaga! Ila wanawake wa kimachame ndo nawagwaya kinoma! Hawakawii kukutenganisha viungo ukipata mshiko wa nguvu!
 
Mwenge...sehemu wake zetu wanaspend siku nzima wakitengeneza nywele.
Unamkuta mdada anashambuliwa na wamasai/wakongo zaidi ya wanne.
 
kama mtu anakuja dar kutembea namshauri wakati wa sunset
apande pantoni ya kwenda kigamboni ile kubwa akae juu....

so nice....kwenda na kurudi
 
No no no! I mean hapana sina tatizo na wachaga! Ila wanawake wa kimachame ndo nawagwaya kinoma! Hawakawii kukutenganisha viungo ukipata mshiko wa nguvu!

Kheee ngoja nitafute mtu mwingine maana hukawii kujikwaa alafu ukanisingizia nilikusukuma kisa una simu ya laki mbili na nauli ya bajaji.
 
Kheee ngoja nitafute mtu mwingine maana hukawii kujikwaa alafu ukanisingizia nilikusukuma kisa una simu ya laki mbili na nauli ya bajaji.

Aaa Lizzy! Hapana ngoja nikutembeze mimi bhana we mtnto wa gate kali njoo ukaone vituko uswahilini!
 
mwenge...sehemu wake zetu wanaspend siku nzima wakitengeneza nywele.
Unamkuta mdada anashambuliwa na wamasai/wakongo zaidi ya wanne.

khaaa usisahau
wale wanatomasa miguu na kuwapaka
rangi hao wake zenu
 
Tenda za rada, umeme, ndege ya serikali, helkopta etc mbona hatuambiani? Acheni ubaya bwana.
 
Kama unataka nguo za kila grade, Tandale Mall, sasa hivi ime-extend to big braza.

Usisahau koko bichi, mihogo inalimwa baharini thru out the year hasa siku za sikukuu, utalii wa ndani tosha kabisa.
 
Mkuu umesahau sehemu moja pale k/koo inaitwa SAIGON CLUB. Hapa ndo kazi za upelelezi zinapo anzia. wale wanafahamu siri zote za serikali. hata ukitaka kujua kuhusu uteuzi wa kikwete watakuambia. hakuna sherehe za Ikulu zinazokosa member wa SAIGON. Pale ndo nlipata habari kuhusu lile jicho la afande kova hadi likawa kama kengeza ni kwa sababu gani na zamani afande Kova alikuwa anakunywa pombe gani. Wale jamaa wapo juu sana hawana rongorongo. Mia
 
Kama unataka nguo za kila grade, Tandale Mall, sasa hivi ime-extend to big braza.

Usisahau koko bichi, mihogo inalimwa baharini thru out the year hasa siku za sikukuu, utalii wa ndani tosha kabisa.

pale aisee unapata mihogo ya kila aina. iliyopikwa, choma, mibichi, halafu kuna ile wanakausha kama kaukau halafu wanaweka pilipili wanafunga kwenye mifuko sijui wenyewe wanaitaje. Umenikumbusha. J2 nadondoka pale asante kwa kunikumbusha. Mia
 
khaaa usisahau
wale wanatomasa miguu na kuwapaka
rangi hao wake zenu
Hawa ndio umiza kichwa kabisa! Unakuta mdada kajiachiaaa..hata tit hajavaa, mshilkaji anajifaidia tu!
Bythen, nina wasiwasi wale wajamaa siyo wazima! Wangekuwa wazima tungekuwa tumeshapata kesi nyingi sana za ubakaji!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom