Kaka Mizambwa achana naye huyo maana ana chuki zinazotokana na UJINGA WAKE WAKISIASAUna matatizo ya akili. Wewe huongei point isipokuwa una ongea MAHABA.
Kaka Mizambwa achana naye huyo maana ana chuki zinazotokana na UJINGA WAKE WAKISIASAUna matatizo ya akili. Wewe huongei point isipokuwa una ongea MAHABA.
NEC ni tofauti na ZEC mzee mtajibeba
kura za urais wa jamuhuri zilikuwa zinapigiwa vituo tofauti na zile za uraisi wa zanzbar, uwakilishi na udiwani?
nulikuwa nakuona una akili kumbe hata boga linakuzidi!!!! pumbafu kabisa.
Sawa lakini magufuli atakuwa rais bila kura za zanzibar? Huoni zimefutwa? Wameliwa.NEC ni tofauti na ZEC mzee mtajibeba
NEC ni tofauti na ZEC mzee mtajibeba
Sawa lakini magufuli atakuwa rais bila kura za zanzibar? Huoni zimefutwa? Wameliwa.
Za zanzibar zimefutwa za Rais wa Mapinduzi Zanzibar sio Rais wa Jamhuri ya Muungano
Umemusikiliza m/kiti wa tume ya taifa ya uchaguz znz, sababu alizotaja ni wazi hakuna haja yakuendelea kwa NEC kutangaza matokeo.
Tatizo mnajifanya wajuaji wa sheria sana. Msikilize Mzee Lubuva now.
Za zanzibar zimefutwa za Rais wa Mapinduzi Zanzibar sio Rais wa Jamhuri ya Muungano
walikuwepo wenye akili kina ZITO, MKUMBO, hawapo tena chadema sasa hivi kabaki na kina prof jay, Sugu, Lema, Kileo,Nassari unategemea kuna kitu hapo?
Ila wa ccm umeonesha ukomavu wa kisiasa sio, very shame on you
swala sio kufutwa..... swala ni kwamba .. uonevu wanaoufanya....
NEC ni tofauti na ZEC mzee mtajibeba
NEC ni tofauti na ZEC mzee mtajibeba
Weee NEC na ZEC ni tofaut kbsaaaa CCM mbele kw mbeleee
Wamefuta matokeo ya znz ya nafasi ya urais na uwakilishi, hawajafuta matokeo ya Rais wa muungano, faham kuwa znz wana karatasi zaidi ya 3 za kupigia kura, msitafute pakutokea
Weee NEC na ZEC ni tofaut kbsaaaa CCM mbele kw mbeleee