Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,043
Kura za Magufuli na Lowassa kwa Zanzibar nazo zimefutwa?
Hahahaha CCM hali ni mbaya sana! Tatizo sasa hivi ni upinzani tu hauna akili ya ziada hizi ndo zilikuwa nafasi za kuonyesha msimamo mmoja kwa UKAWA Zanzibar na UKAWA bara.
Mngekaa viseversa kama matokeo ya Zanzibar yanafutwa yafutwe mpaka ya bara, na kama ya bara yanabaki yabaki mpaka Zanzibar kwani kama ni dosari hata huku bara zipo.
MBOWE NA TEAM yako mnaonekana akili yenu imefika ukomo!
Hahahaha CCM hali ni mbaya sana! Tatizo sasa hivi ni upinzani tu hauna akili ya ziada hizi ndo zilikuwa nafasi za kuonyesha msimamo mmoja kwa UKAWA Zanzibar na UKAWA bara.
Mngekaa viseversa kama matokeo ya Zanzibar yanafutwa yafutwe mpaka ya bara, na kama ya bara yanabaki yabaki mpaka Zanzibar kwani kama ni dosari hata huku bara zipo.
MBOWE NA TEAM yako mnaonekana akili yenu imefika ukomo!