Hio avatar inasadifuLeo ndo ninemegundua Tatizo langu kubwa ni kutopenda kumpa mtu pesa.
Nimeombwa pesa ya Kununulia umeme nikamwambia Tuma miter namba, kilichofuata mtu kaka kimya hajibu sms Wala simu Hapokei.
Baada mda akatuma sms
" Yaani wewe ni Mgumu sana kumpa mtu pesa, mtu akikuambia anashida unamuuliza shida Gani, umfanyie utatuzi"
Last week alisema Kodi imeisha nikampgia mwenye Nyumba, nikamtumia Kodi yake.
Leo akasilike tu, atume miter namba nimnunulie umeme.Em jaribu kuniwekea kwanza ya soda ndio uje na mrejesho hapa kama kweli hupendi au tu huyo kakukera😁😆
Anyway,. Siku nyingine uwe unampa bila kukuomba wanawake tuna mambo mengi sana na sio lazima yote kuyaeleza
Bro nimekupm lipa namba, jina litakuja Mishangazi pub.....Leo akasilike tu, atume miter namba nimnunulie umeme.
Tupo wengi mkuu,sema pia inategemea na mtu mwenyewe, mimi kuna watu bora niwape pesa kuliko kwenda kusolve tatizo lenyewe. Mfano kuna mtu akiniomba labda 200k/= nampa chap ila siyo kumnunulia nguo , hapo unaweza ukalia
Kwenye Nguzo kaka Hawa Viumbe Bora uwape tu pesa waende wenyewe, na Pia mi huwa nampangia Shop yangu, uwezo wangu mama ni kiasi hiki. chukua kafanye yako,Tupo wengi mkuu,sema pia inategemea na mtu mwenyewe, mimi kuna watu bora niwape pesa kuliko kwenda kusolve tatizo lenyewe. Mfano kuna mtu akiniomba labda 200k/= nampa chap ila siyo kumnunulia nguo , hapo unaweza ukalia.
Buku inatosha,ila kwa hawa viumbe umeme wao unaanziaga afukumiHiv hela ya umeme ni kuanzia shi ngapi???
Mkuu,huyu kama hujamwoa usimwoe,kama umemwoa tayari,endelea kupambana tu hakuna namna 😁Kwenye Nguzo kaka Hawa Viumbe Bora uwape tu pesa waende wenyewe, na Pia mi huwa nampangia Shop yangu, uwezo wangu mama ni kiasi hiki. chukua kafanye yako,
Mahitaji ya ndani yupo mshikaji wangu Tandika pale anajua jukumu lake Mchele mzuri ukifika tu one Call unaletwa sasa, yeye Bado anakasilika Why Mchele asifuatirie yeye.
Sawa bob, nilitaka kujia hapo tu niwe na muongozoBuku inatosha,ila kwa hawa viumbe umeme wao unaanziaga afukumi
Hapana mimi si yeye.Umeomba pesa ya umeme Tuma miter namba mambo yasiwe mengi ...
Buku na miambili pamoja na makato yoteHiv hela ya umeme ni kuanzia shi ngapi???