FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Immobiliser - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hii ni kweli ..huu mfumo ulitoka sauzi na saa hv bongo upo na unatambaTechnologia imekua sana.
Niliwah fanya research isiyo rasmi kuhusu hili.
Findings zangu zimegundua kuwa Wezi weng wanaiba Hizi IST kwa Signal Jamming.
Inakuwa hivi.
kama unafunga gari kwa remote, wanakaa meter kadhaa karibu na ww na wakiwa na device yao(signal jammer) na wanajaribu kublock hizo signal za remote ambazo ww uliyeshuka unaziamrisha kufunga gar.
device inanakili hizo signal . Na kama jammer ikikubali, basi utaona gar hazard lights zinawaka kama gari iko locked kumbe sio.
Na the same signal walizoweza kurecord wakat wanajamm alert yako ya kufunga gar, wanatumia device yao nyingine ambayo iko kama game playboy na kuwash gari lako.
Na ndio hivyo gari umeibiwa.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
kivpi mkuu zina traker?Wamiliki wa ICT wengi wao wanyonge ndio maana gari za zinapigwa sana...Harrier hawazigusi kabisa wanajua mziki wake ni lazima lipatikane
Sikuhizi wako full manondo..wanatembea na betri full charged..in case wakikutana na scenario kama yako..mwizi ana mbinu zaidi yako ndio mana anakuibia..Dawa ya hawa jamaa unatoa betri ukiamka una connect unaendelea na safar zako
Sijui sana immobiliser system ya funguo na control box.
Ila Nadhan unajua kuwa hata funguo za gar zina signals.
Sasa hawa wezi huwa wanahangaika kukaa karibu na ww mwenye funguo na wakishapata hizo signal wanatumia hizo devices kuiba gari bila funguo.
Nina gar imetoka japan na ni ya mwaka 2005 na tangu 2012 huwa naiwashaga na remote na sio funguo.
Thus why nikawa interested kufanya utafit kwenye hii ishu.
Kwsababu naamin, kama hiki kiremote kidogo tu, kinafungua milango na kuwasha gar, mtu akikihack, si ndio mchezo umeisha.
So its the same wanafanya kwa IST, wanatafuta frequency signal. Then wakizipata ndio wanatumia kufungua na kuwasha gari.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Njia hii mbona nayo si lolote si chochote?Fungeni track. oooohh !!kama wenzenu south Africa ata kama imeibiwa inaonyesha gari ipo wp na ata kama wakitoa betri bado inaonyesha labda waifumanie iyo track sawa lakini bila ivyo.
Gari yko unaipata2 ila tatizo moja2 serikali yetu ipo nyuma kidogo kwenye mambo ya technology maana iyo track inatakiwa iendeshwe na kitengo maalumu yan kama umeibiwa unatoa taarifa kituo cha police hau watu waliokufungia track then wanashilikiana na police kuitafuta gari track iyo inakua inaonyesha popote ilipo gari hau inapoenda inakuonyesha .simple and easy - FUNGENI CAR TRACK
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
! Dah! Mkuu nimecheka sana.Kama una mnyororo mzuri unafunga kwenye mti na kufuri ya maana. Nakumbuka 2017 nilikua kwa uncle sasa fensi ilikua haijakamilika kulikua na vibaka sana kule boko. Uncle akanunua dog alikua anamfunga kwenye gari anapitisha chain kwenye tair sasa mwizi akaja mbwa kalala alikua mdogo sasa ile kuanza mafekeche mbwa si akabweka jamaa walikimbia hovyo si unajua hawakutegemea kama kuna mbwa pale tulisikia vishindo mtu kaanguka waliacha mavifaa yao, hawa jamaa wako vizur wanavifaa vya ajabu sana wamejipanga wnamadawa ya ajab ndo wanapuliza ili ulale vzr
Nyama italiwa baada yakubwekewa sana na mwenye nyumba wakati huo atakuwa ameshazistukia kelele na viashiria vya uwepo wa wahalifu.Hao wezi wa ajabu wanakimbia mbwa si wangemrushia pande LA nyama waendelee na Yao
Hizo dawa za usingizi dawa yake maji weka maji ndani yaache bila kufunika
Hapo hapo tayari umesha comment na tiki ya komenti imewezeshwa.Sie wa miguu tuna comment wapi
unataka nikupeleke mahali ambapo funguo inachongwa bila kushirikisha control box?Kuchongesha funguo ya gar nadhan haiwez kufanywa bila kubadili vitu kwenye control box.
So ni ngumu kufanywa kama hivi unavyosema ww.
Naanisha Control box signals na Key signals lazima ziendane, sasa wanawezaje kujua bila contol box?.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Bastola ni safi - lakini nasikia mchakato wa kupata kibali waweza kuchukua miaka miwili hadi mitano!Funga car track zaid ya Moja kwenye gari Yako ikibidi chongesha na zile chain broker kama wanazo tufungiaga wa manispaa hata chain mbili funga gari Yako pande mbili ,kingine park gari Yako. Karbu na dirisha unalo lala. Cha mwsho nunua bastola sku ukiwafumania wakosekose hata makusudi hawatorud milele
Hao mbwa wakati mwingine uwa wanabweka hovyo hata kama hakuna uhalifu inasemekana wanaona vitu visivyoonekana kwa macho ya kawaida...!!!Nyama italiwa baada yakubwekewa sana na mwenye nyumba wakati huo atakuwa ameshazistukia kelele na viashiria vya uwepo wa wahalifu.
Sent using Jamii Forums mobile app