Huu wizi wa magari unaoongezeka. Wanatumia mbinu gani na wanawezaje kuyatumia bila kudakwa?

Technologia imekua sana.

Niliwah fanya research isiyo rasmi kuhusu hili.

Findings zangu zimegundua kuwa Wezi weng wanaiba Hizi IST kwa Signal Jamming.

Inakuwa hivi.
kama unafunga gari kwa remote, wanakaa meter kadhaa karibu na ww na wakiwa na device yao(signal jammer) na wanajaribu kublock hizo signal za remote ambazo ww uliyeshuka unaziamrisha kufunga gar.

device inanakili hizo signal . Na kama jammer ikikubali, basi utaona gar hazard lights zinawaka kama gari iko locked kumbe sio.

Na the same signal walizoweza kurecord wakat wanajamm alert yako ya kufunga gar, wanatumia device yao nyingine ambayo iko kama game playboy na kuwash gari lako.

Na ndio hivyo gari umeibiwa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hii ni kweli ..huu mfumo ulitoka sauzi na saa hv bongo upo na unatamba

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi umenitia pressure na Ki Premio changu.

All in All hiyo chain kuijua kunahitaji akili nyingi ambazo jamaa zetu hawana.
 
Dawa ya hawa jamaa unatoa betri ukiamka una connect unaendelea na safar zako
Sikuhizi wako full manondo..wanatembea na betri full charged..in case wakikutana na scenario kama yako..mwizi ana mbinu zaidi yako ndio mana anakuibia..

Ila hawa washezi ndio mana wanakufaga vibaya wakidakwa na raia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unabid ulisaidie Jeshi la Sirro
Sijui sana immobiliser system ya funguo na control box.

Ila Nadhan unajua kuwa hata funguo za gar zina signals.

Sasa hawa wezi huwa wanahangaika kukaa karibu na ww mwenye funguo na wakishapata hizo signal wanatumia hizo devices kuiba gari bila funguo.

Nina gar imetoka japan na ni ya mwaka 2005 na tangu 2012 huwa naiwashaga na remote na sio funguo.

Thus why nikawa interested kufanya utafit kwenye hii ishu.

Kwsababu naamin, kama hiki kiremote kidogo tu, kinafungua milango na kuwasha gar, mtu akikihack, si ndio mchezo umeisha.

So its the same wanafanya kwa IST, wanatafuta frequency signal. Then wakizipata ndio wanatumia kufungua na kuwasha gari.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Fungeni track. oooohh !!kama wenzenu south Africa ata kama imeibiwa inaonyesha gari ipo wp na ata kama wakitoa betri bado inaonyesha labda waifumanie iyo track sawa lakini bila ivyo.

Gari yko unaipata2 ila tatizo moja2 serikali yetu ipo nyuma kidogo kwenye mambo ya technology maana iyo track inatakiwa iendeshwe na kitengo maalumu yan kama umeibiwa unatoa taarifa kituo cha police hau watu waliokufungia track then wanashilikiana na police kuitafuta gari track iyo inakua inaonyesha popote ilipo gari hau inapoenda inakuonyesha .simple and easy - FUNGENI CAR TRACK


Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Njia hii mbona nayo si lolote si chochote?

Nilikuwa nje ya nchi, gari nikamwachia wife awe ananipashia na kupack, yeye akaenda mbali zaidi akaweka na hiyo kitu.

Nilivyorejea akanikabidhi funguo kimya kimya na kuanza kufuatilia 'ruti' zangu za kula bata mjini.

Ikawa sasa ni ugomvi kila nidanganyapo sehemu halisi nilikokuwa!

Haikunichukua muda kujiuliza na kujijibu kisha kuzamia garage.

Nilipofika nikaambiwa mjuzi wa kukata hiyo system ni yule pale.

Kumuona kijana kaniambia: "mzee umeniletea sh ngapi"? Nikamwambia: "kijana sina hela leo, kwani unataka sh. ngapi?"

Akanambia:"nipe ten nikanywe hata chai mzee baba".

Mzunguko wake wa kufyatua si wa kitoto lakini, ilichukua muda.

Baada ya zoezi hilo furaha nyumbani ikarejea kama kawaida.

Ndonasema kuweka gps haisaidii sana.

Maana inaweza kuibwa na wajanja wakisha move umbali flani wanahangaika na disconnection ya system hiyo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una mnyororo mzuri unafunga kwenye mti na kufuri ya maana. Nakumbuka 2017 nilikua kwa uncle sasa fensi ilikua haijakamilika kulikua na vibaka sana kule boko. Uncle akanunua dog alikua anamfunga kwenye gari anapitisha chain kwenye tair sasa mwizi akaja mbwa kalala alikua mdogo sasa ile kuanza mafekeche mbwa si akabweka jamaa walikimbia hovyo si unajua hawakutegemea kama kuna mbwa pale tulisikia vishindo mtu kaanguka waliacha mavifaa yao, hawa jamaa wako vizur wanavifaa vya ajabu sana wamejipanga wnamadawa ya ajab ndo wanapuliza ili ulale vzr
! Dah! Mkuu nimecheka sana.
Umeandika hadi nimehisi kuuona huo msala wa mabaki ya vifaa vya hao wezi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchongesha funguo ya gar nadhan haiwez kufanywa bila kubadili vitu kwenye control box.

So ni ngumu kufanywa kama hivi unavyosema ww.

Naanisha Control box signals na Key signals lazima ziendane, sasa wanawezaje kujua bila contol box?.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
unataka nikupeleke mahali ambapo funguo inachongwa bila kushirikisha control box?
 
Funga car track zaid ya Moja kwenye gari Yako ikibidi chongesha na zile chain broker kama wanazo tufungiaga wa manispaa hata chain mbili funga gari Yako pande mbili ,kingine park gari Yako. Karbu na dirisha unalo lala. Cha mwsho nunua bastola sku ukiwafumania wakosekose hata makusudi hawatorud milele
Bastola ni safi - lakini nasikia mchakato wa kupata kibali waweza kuchukua miaka miwili hadi mitano!
 
Back
Top Bottom