Huu wimbo wa Vitali Maembe una ujumbe mkali sana

Huu wimbo wa Vitali Maembe una ujumbe mkali sana

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Vitali Maembe, msanii kutoka Bagamoyo kwenye huu wimbo anasema ukiona watu wameweka majamvi, ujue wameshafiwa.
Na aliyekufa hakufa kwa ugonjwa bali aliuawa.

Anauliza iko wapi Tanzania tuliyokuwa tunajivunia?

 
Back
Top Bottom