Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Wewe ni pure civilian unayeishi na kulala tu natamani sana kukufahamu kama vipi natuma posa kwenu hata mil ngapi ntatoa hadi nikubadilishe fikra
Mpaka hapo utakapo jijua wewe mwenyewe kwanza,ukajibadili kifra juu yako na juu ya watu wengine Ndio unaweza kuniona na kutoa hiyo posta. Hata Huku utanichukua sio lazima milioni
 
Promo at work...[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]kwa ukakamavu gani,mzito anaruka kama amebebebshwa mawe mgongoni

Umeishiwa wewe! Unataka aruke kama vile ana miaka ishirini sio!! Kuna wakati unajiongeza tu kuelewa sio mpaka upigwe jeki
 
Wewe ni kati ya wajinga, wapumbavu, majuza, majizi na malofa, mafala wachache tulionao nchini, akili yako inauwezo wa kuwa kula na kunya tu

Hivi unafikiri ni rahisi kumkamata mtu mwenye silaha anayeua hadi askari kirahisi?

Ufaransa, US,UK wameua washambuliaji kama hawa sembuse hizo stori zako za abunuwasi unaleta Tanzania?

Wewe kunya lala lipa kodi huna faida nyingine yaani bure kabisa wewe ni mafi ya kuku (in mwai kibaki's voice)
There is a cure for ignorance but NONE for stupidity. Yes, US, UK, France have killed terrorists but its their armies that do it. They are trained to kill. Police are/ought to be protectors not killers. Police kill in defense and explained how it happens. In other countries, Police complaints commissions have to investigate and prosecute police officers where necessary.

What I was suggesting is that IGP should not have publicly and openly utter statements indicating support for the killings. It gives out a wrong pictures to our advesaries and tanish their image internationally! Some things should be staying with the police and not meant for public consumption. Just an advice for those who knows.
Wewe ni pure civilian unayeishi na kulala tu natamani sana kukufahamu kama vipi natuma posa kwenu hata mil ngapi ntatoa hadi nikubadilishe fikra


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Promo at work...[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]kwa ukakamavu gani,mzito anaruka kama amebebebshwa mawe mgongoni
Unahitaji kituo cha kati.
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeishiwa wewe! Unataka aruke kama vile ana miaka ishirini sio!! Kuna wakati unajiongeza tu kuelewa sio mpaka upigwe jeki
So kigezo chako ni umri!!!!are you ok??? Mwili hakuna joto hivi pengine degedege?
 
Hata mimi alinihamasisha sana kamanda Sirro akiwa na vijana wake ni kama ule wakati wa vita dhidi ya nduli makamanda walivyokuwa wakiwahamasisha wapiganaji kwa nyimbo za hamasa ,kwa jana nisingekuwa mhenga ningepiga hodi kwa kamanda Sirro ili nijiunge na jeshi la polisi huko Kibiti.Kamanda Sirro kaweka historia kwa makamanda wa jeshi la polisi,yeye sio mtu wa kuletewa taarifa ofisini bali anazifuata huko huko,hongera kamanda,kingine hana kitambi yupo fit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupinga kila kitu hata ambpo hakufai kuweka siasa, haya twambie bi igp gni aliyewahi kupiga kwata na kikosi cha kazi kma yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kupiga kwata ni sehemu ya wajibu wake au ni nyongeza kwenye kazi yake? Apongezwe kwa kupiga kwata wakati ndiyo kazi yake? Hivi ninyi viumbe, where are you coming from? Disgusting!
 
Hivi kupiga kwata ni sehemu ya wajibu wake au ni nyongeza kwenye kazi yake? Apongezwe kwa kupiga kwata wakati ndiyo kazi yake? Hivi ninyi viumbe, where are you coming from? Disgusting!
Ni wajibu wao ila ulishawahi kuwaona wakifanya hivyo, tofauti na kukaa maofisini muda wote na kukuza vitambi wakisubiri kuletewa habari xote bila kwenda hata sehemu za matukio..
 
Ni wajibu wao ila ulishawahi kuwaona wakifanya hivyo, tofauti na kukaa maofisini muda wote na kukuza vitambi wakisubiri kuletewa habari xote bila kwenda hata sehemu za matukio..
Basi, kumbe aachwe atimize wajibu wake. Sina la kuongeza.
 
mbona sijaona apoonyesha ukakamavu? au kuimba nyimbo nako ni ukakamavu? poor you
 
Back
Top Bottom