Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

Sio rahisi kihivyo wanawake wengine ni mgodi unaotembea. Unakuta mwanamke ni mchapakazi, anakupa heshima ya mume, hana makorokoro ya kando, mzuri na mtamu, hana tabia ya kuomba pesa hovyo anasolve mambo yake. Halafu wewe unakuwa mlevi pesa yake ya malengo unapigia liquor. Akikuambia anataka kusepa lazima kichwa kiwake moto
Kumbe we ni mjinga hivi. Huyo mwanamke no wonder hajabeba mimba yako mpka sasa
 
Shida hasa ilikuwa pombe kiasi sikuwa nazingatia familia na hapo alikuwa mkoa mwingine kikazi hii ilileta shida kiasi hta nikashindwa kuheshimu amana zake sababu kunq wakati alipata eneo shamba nimnunulie na alinitumia milioni moja lkn sikuitimiza hii ahadi na ulitokea mzozo wa kudai talaka pia lkn tulikaa na familia tukamaliza hili kwa kuahidi kumrejeshea kiasi chake.Wakati huo mimi ni misheni town tu yy ni mujiriwa familia ikashauri itabidi ukaungane na mwenzio pmj nilikubalina na wazo hili nikajichukulia hakiba yangu kwanza nikamlipa kiasi chake nikabaki km na m hv ukiondoa maswala ya nauli na mahitaj mengine nikabakiwa km na laki 7 hivi so toka nimefika huku ni mwezi wa 4 sasa vtu havijaenda vile inavyotakiwa au ilivyopngwa.
Wiki iliyopita Kuna kiasi chake km 200000 hiv niliichukua na kumuahidi ntamrejeshea jna lkn sikutimiza hii ahadi, mara ghafla naona usiku vilio nauliza nini tatzo majibu ndio km hayo
😅😅😅😅kwanini mnakimbilia kuoa kabla hamjajipanga?unajua hata hajazaa na wewe kwasababu anajizuia huku akiusoma mchezo wa pesa unaendaje?
anyway hakuna ndoa hapo mpe talaka yaishe kwa amani
 
Namuhurumia sanaaaaa. Kama mtu hujazaa nae, tena mna mwaka mmoja tu, kipi cha kukufanya umgande?? Au jamaa ni mlemavu ?au jamaa ni shoga? Au jamaa hana maisha nje ya huyo mwanamke?
Mbona anayataka matatizo kwa nguvu namna hii?
Wengine ni ulimbukeni wa mapenzi
 
Ukishtakiwa kwa kosa la kuuwa mwanasheria atakutaka umueleze ukweli kuwa ilikuaje ili ajue namna ya kukutetea maana adhabu zipo tatu au nne huu ni mfano tu KUNYONGWA, KIFUNGO CHA MAISHA JELA AU KUUWA BILA KUKUSUDIA sasa hizi ndio hukumu za case sasa ukimweleza ukweli mtetezi wako ni rahisi kupata nafuu ya adhabu lkn ukificha inakuwa ngumu sana kukutetea

Weka wazi makosa yako tujue tunakusaidiaje bwana mdogo
 
Kuna makosa umefanya then, mbona hujayasema ? Hakuna mwanamke anayetaka talaka asiye na mwanaume, elewa Hilo Kijana, narudia elewa Hilo Kijana, Hakuna mwanamke anayetaka kuondoka kwa mwanaume ili aende kutafuta mwanaume!

Endelea kulazimisha, utaondoka hapo kwa usaliti, eti mtamu? Pumbavu kabisa
Naona umeamua kunipa ushauri kijana, sio mimi. Nimeandika kutokana na sababu aliyotoa mtoa post. Nimemuelewa. Kiuhalisia kazingua
 
Japo Umeeleza ila bado kuna vitu umevificha na ukisoma btn the line ulimkataza asimuambie mama yake sababu ya kumpigia hio usiku wa manane,Mimi nahisi ni
1. Ulitaka kumuingilia kinyume na maumbile ukiwa timamu au ulisingizia pombe
2.Ulishindwa/ uliendelea kushindwa kumtimizia mahitaji yake yandoa(Sababu kubwa ni pombe kupindukia homoni zako za kiume zimeshuka/ sio rijali)
3.Sababu ya ziada HUNA mawazo chanya ya kujijenga kiuchumi yaani kwa kifupi wewe ni useless kwake
 
Shida ni nini hasa?

Funguka chanzo hasa cha tatizo ili upate ushauri wa kweli!
Ni kweli kabisa. Ili apate ushauri wenye msaada hapa, kama ameona ndio sehem sahihi. Basi anapaswa kuweka wazi jambo lake pasina kificha. Inaonekana kuna sababu, inayomfanya mke wake anabadilika.
 
Kabisa, inasaidia kuepusha na mambo mengi
Wapo watu watakulaumu sana. Wapo wengine hawatakuelewa kabisa. Ila amani ya moyo wako ni kitu muhimu kuliko vyote hapa duniani. Utajikuta unakuwa na amani sana baada ya kuachana na mtu mjinga
Kuliko ufe au uwe mlevi wa kupindukia kwa stress bora kumuacha aende. Wapo wengi wenye akili zao wanatafuta wanaume
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.

Mwanamke/ Mwanaume akishaomba Talaka unatakiwa umpe. Usimbg'ang'anie.
Unajitafutia matatizo zaidi.

Kama mnawatoto jadilini mnaleaje watoto, kama ni Mali muulize anatakaje
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.
TOA TALAKA MZEE,YAJAYO YANAHUZUNISHA KAMA UKIMNG'ANG'ANIA
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.
Pole mkuu, sinauzoefu na ndoa ila nina uzoefu na wanawake. Kwa jinsi ulivyoandika inaonesha anakutikisa na unatikisika na hicho ndio kitu anataka. Mwanamke anahitaji balance tu, upendo nakumsikiliza kidogo, mikwara na ubandidu kidogo ndio mnsonga. Kitendo cha yy kuomba talaka na wewe kuonesha haupo tayari kumpatia ndio exactly anachokitaka kukiona, ataendelea kusumbua hivyo hivyo huku wewe uiteseka na mawazo na wakati huo hata yeye anakua hajui anataka nini. Mkuu ulimuonesha upo tayari kumpa talaka nahuogopi kumpoteza kuna nidham flani utaiona kwake. Anaweza kukomaa hivyohivyo kuidai ila kuna utofauti utauona. Siku ukiitoa anaweza kulia yeye kwasababu inawezekana anaidai ila hata hamaanishi ni ujinga ujinga tu wa kukujaribu, kukusumbua a justify anachokiwaza.

Yeye amekutikisa, usi resist, mtikise nayeye kwa akili kisha uone kama kuna mlango wa kutokea. Hivi viumbe kuna muda vinapenda kuona wanammiliki mwanaume na kila wanachosema mwanaume lazima atetemeke
 
🎶nimejua shida sina saliooo, ngoja kwanza nitafute helaaaa, shida sina salioooo, ngoja kwanza nitafute helaaa.

Ulisema kisa heeee, heee ndo inafanya ukose raaaa, si ulisema kisa eeeeeeee ndo inafanya ukose raaaaa.....🎶🎶
 
Back
Top Bottom