Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

Kwa kuwa makosa ni yako,usimpe taraka ila ondoka umuache peke yake,usimbembeleze saaana,mara moja kwa mwezi mjulie Hali then unakausha! Ikiisha miezi 6 muombe msamaha kwa yote akikataa Anza mchakato WA taraka!
 
Sijazaa nae na nina mwaka nae
Mkuu,maisha ni mafupi sana,hakuna haja ya kujitesa,
Najua mapenzi yanauma hasa kwa mtu uliyempenda,
Ila huyo mkeo amesha kusoma udhaifu wako,mwanamke akidai talaka kisha ukaonyesha dalili ya kutompa talaka,hukudharau maradufu ya alivyokua anakudharau,

Ushauri wangu ni huu,

  1. Mrudishe kwao,akajitafakari,akiwa huko kwao,usimpigie simu wala kumjulia hali,mpotezee kabisa ili aijue thamani yako,jionyeshe kua hata wewe kwasasa humuhitaji kwa hiyo tabia yake,
  2. Mtwange talaka aende zake ila usifanye haraka ya kutafuta Mwanamke mwingine,jipe muda wa kupumzika na kujitafakari,usimbembeleze kabisa,atakudharau zaidi,
Huo ndio ushauri wangu,

The rest it's up to You.
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.
Fanya ndugu kubali aondoke maana unavyoomba abaki ndo anazidi kuleta kiburi
 
Ingawa unasema chanzo cha matatizo si usaliti, bado ni muhimu kukubali kwamba kuna jambo lililomuumiza sana kiasi cha kusema hana furaha tena. Inawezekana ni mkusanyiko wa mambo, au namna ambavyo matatizo yenu hayajapata suluhisho la kudumu. Hivyo:

Usiingie kwenye kujitetea sana kwa sasa.

Mpe nafasi ya kueleza hisia zake — bila hukumu wala kuingilia.

Mweleze kwamba unathamini ndoa yenu, na upo tayari kufanyia kazi matatizo hayo, bila kushinikiza.

Ingawa umejaribu kumpa nafasi kwa kusafiri, tambua kwamba anaweza kuchukulia kama unamtoroka au unakata tamaa.
 
1-Unaonekana msaliti ila hutaki kuweka wazi ,mkeo amechoka tabia zako hakuna mwanamke akurupuke tu adai talaka
2-Inaonesha unampenda sana na yeye analijua ilo
3-Huna pesa/hauna kipato cha kueleweka ni tegemezi Kwa mwanamke hata ukifukuzwa huna pakwenda,inaonekana wewe ndio king'ang'anizi.
4-amepata mbadala mwanaume mwingine.
5-kama umezaa nae chunguza Kwa umakini hao watoto 60%wanaweza wasiwe wako.
6-achana nae songa mbele fanya maisha mengine
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.
Mpe takaka.
 
Furaha haipo tena wakuu nimedaiwa talaka na mke wangu usiku wa kuamkia leo, mimi mke bado namuhitaji. Chanzo cha yote(tatizo) ni mimi haihusiani na usaliti na tulishakaa vikao na familia tukayamaliza lkn mara zote toka hapo haijawahi kuisha wiki bila kununiana furaha siku 3 nne zillizobaki ni sintofahamu pamoja na kuwa anatimiza majukumu yake yote kama mke.

Usiku wa kuamkia leo baada ya kuniomba talaka yake alimpigia mama yake simu by 7 kasoro usiku kumueleza kuwa hana furaha tena! mama alikuwa na hamu ya kujua nini tatizo lkn binti alisisitiza siioni ndoa yangu tena na kukata simu ila kabla ya kukata alimuahidi kesho ntakuambia kila kitu.

Kwa hili sikuwa na namna sababu nilisharuhusu simu kupigwa japo baada ya kupiga simu nilimuomba usizungumze chochote na mama yako kuhusu hili wewe utajua namna ya kuongea ili kutuliza hali na ameniitikia kwa kunielewa, lkn sijui kichwani anawaza nini!

Nilimuahidi mimi pia nitazungumza na mama yake, jambo jingine nimemuomba nimuache peke yake kwanza nisafiri ili angalau upatikane muda wa utulivu kwanza lkn sio kumpa talaka.
Mkuu kwa uzoefu Tu, hiyo MPE talaka yake aende, Mimi shemeji yako alipoanza kutoka nje ya ndoa, alibadilika mno,dharau,kibuti jeuri na kejeli zilikuwa nyingi sana, nilifanya maamuzi magumu ya kuamua kukiacha, hakujali kabisa, imepita miaka miwili sasa, anaomba kurudi kwa machozi, lakini katu sijawahi kurudi nyuma!

Ukilazimisha kubaki naye, nakuhakikishia utakuwa kabla ya wakati wako, mwanamke akifika hatua ya kuitaka talaka yeye mwenyewe, jua yupo kwenye pembe ya mwisho kabisa ya uvumilivu, ukilazimisha ni sawa na kuyachezea maisha yako mwenyewe!

Pole sana, anza kujifunza kuishi bila yeye!
 
Shida ni nini hasa?

Funguka chanzo hasa cha tatizo ili upate ushauri wa kweli!
Shida hasa ilikuwa pombe kiasi sikuwa nazingatia familia na hapo alikuwa mkoa mwingine kikazi hii ilileta shida kiasi hta nikashindwa kuheshimu amana zake sababu kunq wakati alipata eneo shamba nimnunulie na alinitumia milioni moja lkn sikuitimiza hii ahadi na ulitokea mzozo wa kudai talaka pia lkn tulikaa na familia tukamaliza hili kwa kuahidi kumrejeshea kiasi chake.Wakati huo mimi ni misheni town tu yy ni mujiriwa familia ikashauri itabidi ukaungane na mwenzio pmj nilikubalina na wazo hili nikajichukulia hakiba yangu kwanza nikamlipa kiasi chake nikabaki km na m hv ukiondoa maswala ya nauli na mahitaj mengine nikabakiwa km na laki 7 hivi so toka nimefika huku ni mwezi wa 4 sasa vtu havijaenda vile inavyotakiwa au ilivyopngwa.
Wiki iliyopita Kuna kiasi chake km 200000 hiv niliichukua na kumuahidi ntamrejeshea jna lkn sikutimiza hii ahadi, mara ghafla naona usiku vilio nauliza nini tatzo majibu ndio km hayo
 
Back
Top Bottom